Mtakubaliana vizuuri...Biashara ikikubali aliye toa wazo atataka kuwa kama mwenye mtaji na mwishowe kuhisi yeye ndiyo mwenye biashara bila yeye mwenyemtaji asingepata hiyo faida..
Mambo mengine zaidi yataendelea.
Ndomaana wenye mtaji wanaungana wao kwa wao na kuajiri wenye mawazo
Wahenga walio sema maskini akipata matako hulia pwaaa kibongo bongo walikosea???