Kuna vile unavyojiona ulivyo wewe mwenyewe na vile wengine wanavyokuona : Uzuri ni kuwa wewe ndiye unayechagua cha kuonesha.

Kuna vile unavyojiona ulivyo wewe mwenyewe na vile wengine wanavyokuona : Uzuri ni kuwa wewe ndiye unayechagua cha kuonesha.

Victor Mlaki

JF-Expert Member
Joined
May 1, 2016
Posts
4,151
Reaction score
4,277
Hakuna msimamizi wa maisha yako isipokuwa ni wewe mwenyewe. Unachokionesha Kwa kujua au kutojua ndicho watu wanachokiona. Siyo lazima watu wakuone kama unavyojiona ila ni lazima watu wakuone sawa na wanavyoona wao kulingana na wanachokiona.

Mtu mwenye macho yenye hitilafu siyo lazima aone kama wenye macho mazima. Wengine wanaokuona wana matatizo ya macho yao usijali huenda hilo likawa siyo tatizo lako. Ila jiulize tu mwenyewe wewe unajionaje?
......ova...
 
Hatutaki mtufundishe kuhusu tunaonekanaje au hatuonekani vipi tunataka mtuambie nyinyi mnapata wapi hela!,tumechoka na mahubiri yenu na inavyoonyesha mweka mada umekutana na tusi zito huko! au nasisi tukufundishe namna yakutunza vitu... ulishawahi kuitwa peremende wewe..🤣
 
Hatutaki mtufundishe kuhusu tunaonekanaje au hatuonekani vipi tunataka mtuambie nyinyi mnapata wapi hela!,tumechoka na mahubiri yenu na inavyoonyesha mweka mada umekutana na tusi zito huko! au nasisi tukufundishe namna yakutunza vitu... ulishawahi kuitwa peremende wewe..🤣
Nani amewafundisha kuonekana hapa?..
Mkuu jaribu kuwa mstaarabu, sina maneno laini ya kukuambia zaidi ya kusema siyo lazima usome na kuchangia Kila kinanachoandikwa, ukiona hakuna maana kipuuzie endelea na masuala mengine.
 
Nani amewafundisha kuonekana hapa?..
Mkuu jaribu kuwa mstaarabu, sina maneno laini ya kukuambia zaidi ya kusema siyo lazima usome na kuchangia Kila kinanachoandikwa, ukiona hakuna maana kipuuzie endelea na masuala mengine.
usijaribu kuwa serious sana hapa utaumia bure ndugu!
pili sijatukana mtu hapa au umemind..??
 
Hakuna msimamizi wa maisha yako isipokuwa ni wewe mwenyewe. Unachokionesha Kwa kujua au kutojua ndicho watu wanachokiona. Siyo lazima watu wakuone kama unavyojiona ila ni lazima watu wakuone sawa na wanavyoona wao kulingana na wanachokiona.

Mtu mwenye macho yenye hitilafu siyo lazima aone kama wenye macho mazima. Wengine wanaokuona wana matatizo ya macho yao usijali huenda hilo likawa siyo tatizo lako. Ila jiulize tu mwenyewe wewe unajionaje?
......ova...
Am inspirational hater....I do as my mind instruct me to do.
Over
 
Back
Top Bottom