Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Hii akili ya wapi? Ni akina nani wanamtuma Kubwa Jinga Mwakalebela kwa suala la Morrison?
Yanga wamepita wachezaji wangapi wakaondoka team ikabaki? Kwa nini Morrison anaonekana kututesa sana mioyo? Fredrick Mwakalebela hivi hutumii hata akili za kawaida?
Mkataba wa Morrison na Simba wewe unakuhusu nini? Aliyelalamika kwa Mkataba wa Morrison na Yanga alikuwa ni Morrison mwenyewe siyo Simba.
Sasa kama mkataba walioingia Simba na Morrison una mapungufu wewe Yanga inakuhusu nini? Anatakiwa alalamike Simba au Morrison.
Kwa nini Nyie Viongozi mnataka mwisho Yanga wote tuonekane hatuna akili? Acheni hizo bwana. Tusifunike mambo ya team yetu kwa kuibua suala la Morrison ambalo tayari lilishatufanya tuonekane vilaza.
Badala ya kukomaa team yetu itulie, tuwekeze nguvu zaidi kuijenga bado tunampambania Morrison ambaye hatutaki. Mimi wakati mwingine najisikia aibu sana. Mwishowe sote Yanga tutaonekana ni wapumbavuh.
Yanga wamepita wachezaji wangapi wakaondoka team ikabaki? Kwa nini Morrison anaonekana kututesa sana mioyo? Fredrick Mwakalebela hivi hutumii hata akili za kawaida?
Mkataba wa Morrison na Simba wewe unakuhusu nini? Aliyelalamika kwa Mkataba wa Morrison na Yanga alikuwa ni Morrison mwenyewe siyo Simba.
Sasa kama mkataba walioingia Simba na Morrison una mapungufu wewe Yanga inakuhusu nini? Anatakiwa alalamike Simba au Morrison.
Kwa nini Nyie Viongozi mnataka mwisho Yanga wote tuonekane hatuna akili? Acheni hizo bwana. Tusifunike mambo ya team yetu kwa kuibua suala la Morrison ambalo tayari lilishatufanya tuonekane vilaza.
Badala ya kukomaa team yetu itulie, tuwekeze nguvu zaidi kuijenga bado tunampambania Morrison ambaye hatutaki. Mimi wakati mwingine najisikia aibu sana. Mwishowe sote Yanga tutaonekana ni wapumbavuh.