Maleven
JF-Expert Member
- Sep 8, 2019
- 689
- 3,373
1. Kwenye elimu anapewa kipaombele mwanamke, hili liko wazi kabisa hata kwenye mifumo ya chuo ya admission.
2. Kwenye ajira ni sera yao kabisa kua mwanamke anapewa kipaombele, hili sio la kuficha
3. Hata katika kuwezesha hulu mtaani, ni wanawake. Mfano kuna program nyingi zinazolenga kumuinua mwanamke, na si vijana kwa ujumla
Lengo la haya yote ni nini? Kwanini wanaume wanatengwa?
2. Kwenye ajira ni sera yao kabisa kua mwanamke anapewa kipaombele, hili sio la kuficha
3. Hata katika kuwezesha hulu mtaani, ni wanawake. Mfano kuna program nyingi zinazolenga kumuinua mwanamke, na si vijana kwa ujumla
Lengo la haya yote ni nini? Kwanini wanaume wanatengwa?