Yaani watu wako radhi kukumbatia dhambi za ajabu sana ila papa kagusia tu kuwahurumia mashoga imekuwa nongwa. Waafrica ni wapuuzi wa kufikiri. Angalia hii:
Watu Hawa wanazini wazi wazi ila huwezi kukuta makanisa au misikiti inawafikuza zaidi ni kuwakumbatia kwa sababu wana hela:
1. Diamond pltatnumz anazini hadharani kabisa mana Hana ndoa ila ana watoto(zinaa)
2. Manara anazini mubashara na Maka kaenda.
3.: Gigi money anajiuza kabisa lakini anashinda kwa mwamposa kuombewa jioni anaenda kusaka wanaume.
4. Wema nsepetu anazini na whozu daily na msikitini hakosi na anonekana ni hero pia
Watu Hawa wanazini wazi wazi ila huwezi kukuta makanisa au misikiti inawafikuza zaidi ni kuwakumbatia kwa sababu wana hela:
1. Diamond pltatnumz anazini hadharani kabisa mana Hana ndoa ila ana watoto(zinaa)
2. Manara anazini mubashara na Maka kaenda.
3.: Gigi money anajiuza kabisa lakini anashinda kwa mwamposa kuombewa jioni anaenda kusaka wanaume.
4. Wema nsepetu anazini na whozu daily na msikitini hakosi na anonekana ni hero pia