Kuna vitu vinashangaza sana

Kuna vitu vinashangaza sana

deblabant

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2022
Posts
2,650
Reaction score
4,065
Yaani watu wako radhi kukumbatia dhambi za ajabu sana ila papa kagusia tu kuwahurumia mashoga imekuwa nongwa. Waafrica ni wapuuzi wa kufikiri. Angalia hii:

Watu Hawa wanazini wazi wazi ila huwezi kukuta makanisa au misikiti inawafikuza zaidi ni kuwakumbatia kwa sababu wana hela:

1. Diamond pltatnumz anazini hadharani kabisa mana Hana ndoa ila ana watoto(zinaa)

2. Manara anazini mubashara na Maka kaenda.

3.: Gigi money anajiuza kabisa lakini anashinda kwa mwamposa kuombewa jioni anaenda kusaka wanaume.

4. Wema nsepetu anazini na whozu daily na msikitini hakosi na anonekana ni hero pia
 
Yaani watu wako radhi kukumbatia dhambi za ajabu sana ila papa kagusia tu kuwahurumia mashoga imekuwa nongwa. Waafrica ni wapuuzi wa kufikiri. Angalia hii:

Watu Hawa wanazini wazi wazi ila huwezi kukuta makanisa au misikiti inawafikuza zaidi ni kuwakumbatia kwa sababu wana hela:

1. Diamond pltatnumz anazini hadharani kabisa mana Hana ndoa ila ana watoto(zinaa)

2. Manara anazini mubashara na Maka kaenda.

3.: Gigi money anajiuza kabisa lakini anashinda kwa mwamposa kuombewa jioni anaenda kusaka wanaume.

4. Wema nsepetu anazini na whozu daily na msikitini hakosi na anonekana ni hero pia

Hakuna cha kushangaza hapo!! Sie tunakushangaa wewe unataka ubokolewe hadharani!! Acha ujinga
 
Mleta mada hapa kinachotusumbua watanzania kama ilivyo kwa waafrika wote ni unafiki. Kutokusema ukweli wa nafsi zetu.

Wakina dada wngapi wanafukuliwa nyuma lkn kutwa wako makanisani?

Wakaka wangapi wanafukuana mitaro lkn asubuhi wako misikitini?

Zanzibar mashoga wamejaa kila kona mbona hatusikii tamko la kuyalaani?
 
Zinaaa wanachukulia simple ila hatari sawa na ushoga tu.
 
Yaani watu wako radhi kukumbatia dhambi za ajabu sana ila papa kagusia tu kuwahurumia mashoga imekuwa nongwa. Waafrica ni wapuuzi wa kufikiri. Angalia hii:

Watu Hawa wanazini wazi wazi ila huwezi kukuta makanisa au misikiti inawafikuza zaidi ni kuwakumbatia kwa sababu wana hela:

1. Diamond pltatnumz anazini hadharani kabisa mana Hana ndoa ila ana watoto(zinaa)

2. Manara anazini mubashara na Maka kaenda.

3.: Gigi money anajiuza kabisa lakini anashinda kwa mwamposa kuombewa jioni anaenda kusaka wanaume.

4. Wema nsepetu anazini na whozu daily na msikitini hakosi na anonekana ni hero pia
Kuna shoga muislam alifariki na akaswaliwa ile sala ya janazah hapo nilichoka. Nikasema hawa wanaunga mkono hii maneno au inakuaje?
 
Kuna shoga muislam alifariki na akaswalia ile sala ya janazah hapo nilichoka. Nikasema hawa wanaunga mkono hii maneno au inakuaje?
Labda maiti ikiwa na deni ndio mpaka alipiwe ndio mnazika ,ila maiti yeyote inazikwa kama kunifadhi kwani mjuzi ni mwenyewe Mungu.

Hata dua anaombewa .
 
Labda maiti ikiwa na deni ndio mpaka alipiwe ndio mnazika ,ila maiti yeyote inazikwa kama kunifadhi kwani mjuzi ni mwenyewe Mungu.

Hata dua anaombewa .
Sasa papa mnamshitumu Nini au elimu ndogo ndo unasumbua tu
 
Back
Top Bottom