Kuna vitu vinashangaza sana

Kuna vitu vinashangaza sana

Labda maiti ikiwa na deni ndio mpaka alipiwe ndio mnazika ,ila maiti yeyote inazikwa kama kunifadhi kwani mjuzi ni mwenyewe Mungu.

Hata dua anaombewa .
Nilishangaa sana. Nikasema kumbe ukiwa shoga kuswaliwa ile swala ya mwisho ukifa rukswa. Sasa hapo si inakuwa mmekubaliana na vitendo alivyokuwa akifanya angali hai? Au mimi sielewi?
 
Kwa hiyo na mashoga nao wapewe haki ya kuzini hadharani?
 
Sasa papa mnamshitumu Nini au elimu ndogo ndo unasumbua tu
Hujielewi nn? Nimekuuliza jibu swali tujue.!?

Kwani kuna kosa gani kuuliza ,kama hautaki huu uzi kapost kweny magroup ya familia yako.
 
Kwa mbaaali
IMG-20221224-WA0004.jpg
 
Nilishangaa sana. Nikasema kumbe ukiwa shoga kuswaliwa ile swala ya mwisho ukifa rukswa. Sasa hapo si inakuwa mmekubaliana na vitendo alivyokuwa akifanya angali hai? Au mimi sielewi?
Mtu kashakufa unataka uache maiti bila ya kuzikwa ,kuzima ni kusitiri mwili kama binadamu wala hamna jipya zaidi.
 
Kuswaliwa na siyo kuzikwa.

Hujaielewa hoja ya Kinyungu
Ndugu yangu kama huingii msikitini hata kuswaliwa ni geresha tu ila kukamilisha mazishi ,kwa taratibu za kiislamu kama jukumu la mazishi litafanywa na waislamu lazima wafuate hatua zote kama kumuosha ,kumkafini maiti ,kumswalia na kumzika.

Kuna watu hawaingii msikitini kabisa ntakupa mfano sina nia mbaya ...Umeona yule Haithan kin msanii akiyekufa juzi yule lazima afanyiwe yote haijalishi alikuwa vip huwezi kumuhukum mtu hata kama unaona anafanya maovu ni vyema kumkumbusha maana ibada na amali njema ni siri ya mja na muumba , Mwenyewe Mungu ndio mjuzi.
 
Yaani watu wako radhi kukumbatia dhambi za ajabu sana ila papa kagusia tu kuwahurumia mashoga imekuwa nongwa. Waafrica ni wapuuzi wa kufikiri. Angalia hii:

Watu Hawa wanazini wazi wazi ila huwezi kukuta makanisa au misikiti inawafikuza zaidi ni kuwakumbatia kwa sababu wana hela:

1. Diamond pltatnumz anazini hadharani kabisa mana Hana ndoa ila ana watoto(zinaa)

2. Manara anazini mubashara na Maka kaenda.

3.: Gigi money anajiuza kabisa lakini anashinda kwa mwamposa kuombewa jioni anaenda kusaka wanaume.

4. Wema nsepetu anazini na whozu daily na msikitini hakosi na anonekana ni hero pia
Bado hujaweka wingi wa wanaume wanaoingilia wanawake kinyume na maumbile siku hizi. Bado hujaweka mafisadi wanaoiba fesha za umma na kusabisha vifo kwa ajili ya kukosa huduma muhimu. Bado hujaweka manabii na mitume wanavyotafuna kondoo wao. Bado hujaweka wauaji kama waliotaka kumuua Lissu. Ni unafiki kwa kwenda mbele.
 
Accumen Mo Bado hujajibu hoja.

Swala ya kumuombea maiti siyo takatifu??

Kama swala ni jambo takatifu, kumswalia shoga ni sawa!!??

Ushoga siyo ukafir!!??
 
Accumen Mo Bado hujajibu hoja.

Swala ya kumuombea maiti siyo takatifu??

Kama swala ni takatifu, kumswalia shoga ni sawa!!??

Ushoga siyo ukafir!!??
Swala ya maiti kwani unajua ina nn ndani yake ? Ile ni janeizar tu kuombea dua .

Unajua kuhusu dhambi kubwa katika uislamu ? Miongoni mwa dhambi kubwa ni ushirikina ,na ukisoma baadhi ya Hadith na zinasema dhambi kubwa nyingine ni "riba" ...Riba tu imefananisha na mtu kama amezini na mama ake mzazi..
wangapi wanakula riba na washirikina tena miongoni kwa viongozi wa dini.

Maiti anaswaliwa ili kumuombea dua kama ni muislamu ,dhambi nyingine kila mtu anazo mimi na wewe wote tuna dhambi..
 
Back
Top Bottom