Kuna vitu vinashangaza sana

Uliowataja hapo wote wana uhusiano gani na dini yoyote??


Hao wote wahuni tu, ila ikitokea mchungaji au sheikh akiyafanya anayofanya Manara na wenzake lazima watu watashupalia tu

Huoni kuwa watu wanakula sana nguruwe ila akila sheikh itakuwa ni stori kubwa
 
Hivi wewe binafsi, mtoto wako kwa kiume akimla demu na akiliwa yeye


Ipi itakuuma sana

Zote dhambi ila kuliwa mwanaume sio poa
 
Nilishangaa sana. Nikasema kumbe ukiwa shoga kuswaliwa ile swala ya mwisho ukifa rukswa. Sasa hapo si inakuwa mmekubaliana na vitendo alivyokuwa akifanya angali hai? Au mimi sielewi?
Kuswaliwa ni kwenda peponi??

By the way, mafundisho ya uislamu huwa hatumtoi mtu kwa kufanya madhambi makubwa isipokuwa shirk


Na dhambi ambayo ALLAH hayo samehe mtu ni shirk tu endapo hajatubu na akafa


Hayo mengine ALLAH ndio mjuzi
 
Accumen Mo Bado hujajibu hoja.

Swala ya kumuombea maiti siyo takatifu??

Kama swala ni jambo takatifu, kumswalia shoga ni sawa!!??

Ushoga siyo ukafir!!??
Ushoga ni dhambi kubwa ila siyo ukafiri

Katika uislamu kuna madhambi ambayo yanamtoa mtu kwenye uislamu


Uzinzi na ushoga hayapo


Bali hizo ni dhambi kubwa ambazo sio kufuru
 
Swala hapa ni kuhalalisha ushoga


Umeona watu wanahalalisha uzinzi??


Kwani kwenye makanisa na misikiti hawakatazi uzinzi??
 
Ushoga ni dhambi kubwa ila siyo ukafiri

Katika uislamu kuna madhambi ambayo yanamtoa mtu kwenye uislamu


Uzinzi na ushoga hayapo


Bali hizo ni dhambi kubwa ambazo sio kufuru
Kumbe mtu kuwa shoga hakumfanyi mtu huyo kutoka kwenye uislam!!!??
 
TZ na waafrika wanapenda ushabiki na mkumbo. Suala la kujiuliza hivi ukigundua ndugu yako kageuka shoga utakubali akauwawe ? Vishoga vyenyewe ni vitoto vidogo ambavyo sisi wenyewe tumesababisha viharibike. Uzembe wa jamii umepelekea kuzalisha mashoga. Mda mwingine watu wazima ndio wanaobaka watoto hatimae watoto wanaharibika. Tunatakiwa tuangalie mzizi wa totizo sio matokeo ya tatizo. Kwa nini asiuawe na kuchomea moto anaesababisha mashoga wawepo.
Halafu waafrika ni waongo waongo na hawapo serious, mpaka leo kwa nini hawatungi hizo sheria kali dhidi ya mashoga. Ingekuwa China au korea tayari watu wangeisha nyongwa sie kazi yetu kuhemka tu na jambo linaendelea vile vile.
 
Kama mjusi ni ALLAH Kwa ivo waislam hawana sababu ya kupambana na mashoga bali wamwachie ALLAH mjuzi wa yote kuamua atawafanyaje mashoga siku ya kiyama!!
Hujaelewa au unafanya makusudi

Uzinzi ni kosa dogo kuliko ulawiti

Mwisho wa siku; sheria haimtoi mzinzi au shoga katika uislamu


Sehemu yetu kama binadamu tunafanya ila mwisho wa siku wataenda kuadhibiwa kwa makosa yao


Halafu sisi hatusemi madhambi mengine ssiyo siyo dhambi bali tunapinga nguvu kubwa inayotumika kuwapromote

Nguvu kubwa inatumika kufanikisha jambo hili liwe la kawaida tu


Hadi vitabu vinatungwa
 
Mashoga na wafir@ji wanajitambulisha wenyewe 😂😂
 
Dini ni siasa ya kale iliyovikwa joho la utakatifu wa Mungu asiyethibitishika.

Ikijaa unafiki, si kitu cha ajabu.
 
Kama mjusi ni ALLAH Kwa ivo waislam hawana sababu ya kupambana na mashoga bali wamwachie ALLAH mjuzi wa yote kuamua atawafanyaje mashoga siku ya kiyama!!
Kuna adhabu za duniani na akhera


Navosema ALLAH ndio mjuzi ni huko akhera

Hukumu ya duniani ishawekwa na kwakuwa sisi hatupo kwenye islamic state basi kazi yetu ni kukataza uovu, hatuna mamlaka ya kutoa adhabu


Na ndio maana tunakataza
 
Wewe unajuaje??

Hata kuzini hakumtoi mtu kwenye uislamu ila ni miongoni mwa madhambi makubwa na adhabu yake nadhani unaijua
Soma maelezo yako ndiyo utajua nimejuaje.

Kwa ivo unaweza kuwa shoga na bado ukaendelea kuwa Muislam??
 
Ushoga ni uchafu
Ushoga ni kinyume na asili
Ushoga ni kufuru
Ushoga ni kinyume na maadili ya kiafrika
Kama mnataka ushoga nendeni huko Ulaya
Mbona mnalazimisha ushoga uonekane sawa na uzinzi
Yan ulinganishe mtoto aliyedokoa mboga jikoni na jambazi aliyeiba kwa kuua na bunduki ati wote ni wezi
We baba ako angeolewa wewe ungezaliwa?
Tuheshimu nature
Mahusiano ni ya jinsia tofauti
Papa hayuko sawa ni mkatoliki nimesoma seminarini miaka 6
Ila kauli ya papa kanikwaza sana
Hatutaki ushoga
 
Papa Francis amesema(alikuwa anaongea face to face na rais was Ghana siku chache zilizopita) "the only time you can look down on a person is when you want to lift him up"
Yaani,usiseme neno lolote la kumdharau mtu bila kumpa neno la ushauri.
Yaani,kama yeye ni mtu wa ovyo,unamshauri afanye nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…