Kuna vitu vya kuhonga ila bado sijawaza kuja kuhonga simu

Kuna vitu vya kuhonga ila bado sijawaza kuja kuhonga simu

kilamba lamba

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2020
Posts
427
Reaction score
738
Habarini wana jamvi.

Aisee kuhonga hakuepukiki kabisa kwenye maisha ya siku hizi, honga vyote ila usihonge simu wakuu.

Kwa upande wangu kiukweli ntahonga hata mwili kwa ma shuga mummy lakini siyo simu.

Bado nawaza wanaoweza wanawezaje, bora uhonge hela yeye ndio aamue kununua simu.

Nb: Shtuka shtuka ba mdogo kuhonga simu undezi huo.
 
Hamjamuelewa. Anachoongelea sio thamani ya simu. Anaweza kuhonga hata sh milioni 2 pesa taslimu lakini sio kumnunulia mwanamke simu ya laki 2. Yaani anahisi atakuwa anamrahisishia mawasiliano na wanaume wengine.

Inauma simu umenunua wewe halafu hiyo hiyo inatumika kuwasilianana na wanaume wengine.
 
Hamjamuelewa. Anachoongelea sio thamani ya simu. Anaweza kuhonga hata sh milioni 2 pesa taslimu lakini sio kumnunulia mwanamke simu ya laki 2. Yaani anahisi atakuwa anamrahisishia mawasiliano na wanaume wengine. Inauma simu umenunua wewe halafu hiyo hiyo inatumika kuwasilianana na wanaume wengine.

Hata ukihonga Gari, hilo Gari pia linaweza kumbeba Mwanaume mwingine.
 
Yani nku honge simu afu simu iyo iyo uitumie kuni letea dharau
Utajua ww mkuu.
Mimi nshawai kuhonga simu tena Tecno Camon 12.
Demu alikua ananipa hadi Tigo.
Sema nlikuja kuachana nae.
 
Back
Top Bottom