makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Hatutaki kumuona, sisi tumezoea "KUWAONA"Y
Yupo Mbona. Wewe peruzi peruzi vizuri utamuona
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatutaki kumuona, sisi tumezoea "KUWAONA"Y
Yupo Mbona. Wewe peruzi peruzi vizuri utamuona
Mbona kimya hujaja PM mkuuPamoja na yoooootee!! Abarikiwe tu Yule Mwanaume....
Hivi huo ujasiri mnapata wapUtajua ww mkuu.
Mimi nshawai kuhonga simu tena Tecno Camon 12.
Demu alikua ananipa hadi Tigo.
Sema nlikuja kuachana nae.
wee! ongea taratibu wasikusikie raha ya mwnaume kuhonga ndugu.Habarini wana jamvi.
Aisee kuhonga hakuepukiki kabisa kwenye maisha ya siku hizi, honga vyote ila usihonge simu wakuu.
Kwa upande wangu kiukweli ntahonga hata mwili kwa ma shuga mummy lakini siyo simu.
Bado nawaza wanaoweza wanawezaje, bora uhonge hela yeye ndio aamue kununua simu.
Nb: Shtuka shtuka ba mdogo kuhonga simu undezi huo.
Hapo sawa!!nimeridhika aseehh!mi nataka ubwabwa mwaka huu!niwe ktk kamati ya mc na mziki!!![emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]Y
Yupo Mbona. Wewe peruzi peruzi vizuri utamuona
[emoji39][emoji16][emoji3][emoji3][emoji16][emoji23]Makaveli Mungu anakuonaKuna muhuni aliniletea kiswaswadu cha nokia obama nyuuu kwa elfu 7 kiwango cha oale lumumba.. Akaja mwali analialia anataka simu nikampa, nikala mzigo, kwake ni simu ila kwangu ni elfu 7.
Kuna dogo alileta tecno nyu nyuu hivi akaweka kwa elfu 4 muda ukapitiliza hajagomboa, akaja mwali analia hana simu nikampa, nikala mzigo kwake ni simu ila kwangu ni elfu 4.
[emoji41]
[emoji16][emoji23][emoji23][emoji3][emoji16]umeona eeehhh!!!Hatutaki kumuona, sisi tumezoea "KUWAONA"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji39][emoji16][emoji3][emoji3][emoji16][emoji23]Makaveli Mungu anakuona
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]loooh!smart911 team July tuko vzr sanaaSmart911 njoo ule pongezi zako huku mkurungwa mwenzangu.
Au ndio[emoji16][emoji23][emoji23][emoji3][emoji16]umeona eeehhh!!!
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Kaaah!!yaani wenyewe wakajiona wamefikaa kumbe buku7!!![emoji23][emoji23][emoji23]
Ndio mjini tunavyoishi.. Kila mtu anathaminisha kivyake.Kaaah!!yaani wenyewe wakajiona wamefikaa kumbe buku7!!!
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Ila kweli lakiniNdio mjini tunavyoishi.. Kila mtu anathaminisha kivyake.
Ungemzalia basi ili aendelee kubarikiwaPamoja na yoooootee!! Abarikiwe tu Yule Mwanaume....
MmmmhHapo sawa!!nimeridhika aseehh!mi nataka ubwabwa mwaka huu!niwe ktk kamati ya mc na mziki!!![emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app