Mnyatiaji
JF-Expert Member
- Dec 13, 2018
- 3,728
- 4,817
๐๐๐๐๐ Muenezi umetishaa๐๐View attachment 1733161 hii ntamuazima kwa masilianoyangu na yeye akizingua nasepa nayo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐๐๐๐ Muenezi umetishaa๐๐View attachment 1733161 hii ntamuazima kwa masilianoyangu na yeye akizingua nasepa nayo
Naamu mkuu ๐ ๐๐๐๐๐๐ Muenezi umetishaa๐๐
Nimejisikia vibaya kwa hili..Lol tushaachana kitambo
Wewe hujawahi kuacha mpaka ujisikie vibaya.....Nimejisikia vibaya kwa hili..
Sawa, ndio maisha.
Kinyaaa, Kula Tigo Ni Ufahari?Utajua ww mkuu.
Mimi nshawai kuhonga simu tena Tecno Camon 12.
Demu alikua ananipa hadi Tigo.
Sema nlikuja kuachana nae.
Ngoja kwanza ze-dudu killer, tuko msibani.Wewe hujawahi kuacha mpaka ujisikie vibaya.....
Smart km smart na mahondaw kama mahondaw lobe birds!!!!@Smart911
Loooh!!!nshapata jibu!!but whyy....?!!!!Future impossible tense lol?
Was just an appreciation mkuu! Yaliyopita si ndwele
Heeee!!!yamekua hayooo!!!?!!kisa looh!!maisha haya?!!but whyyy?!!!I was very much inluv with ur pair...!!!jamani jamani looh!!Lol tushaachana kitambo
Yaani acha kabisaa!!Nimejisikia vibaya kwa hili..
Sawa, ndio maisha.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23]Makampuni ya bima, naomba muanzishe bima ya mapenzi.
Mtu akiachwa arudishiwe gharama zake
[emoji848][emoji23]
Nimefurahi kukuona katika jukwaa kisuraPamoja na yoooootee!! Abarikiwe tu Yule Mwanaume....
Afadhali ngoja tupige hodi tuone kama milango itafungukaLol tushaachana kitambo
Mugabe alihonga nchiii?!!Wewe hujawahi kuacha mpaka ujisikie vibaya.....
Mm sina tu nafasi... ningehonga hadi Nchi na Raia wake... RIP Mugabe
Hutaki kuhongwa simu wewe?Pamoja na yoooootee!! Abarikiwe tu Yule Mwanaume....
Jimbo halina mwenyewee!!!!hiloo [emoji3][emoji3][emoji23][emoji23]Afadhali ngoja tupige hodi tuone kama milango itafunguka
Hofu yako ni matumizi ya cm ili mhongwa achapiweHabarini wana jamvi.
Aisee kuhonga hakuepukiki kabisa kwenye maisha ya siku hizi, honga vyote ila usihonge simu wakuu.
Kwa upande wangu kiukweli ntahonga hata mwili kwa ma shuga mummy lakini siyo simu.
Bado nawaza wanaoweza wanawezaje, bora uhonge hela yeye ndio aamue kununua simu.
Nb: Shtuka shtuka ba mdogo kuhonga simu undezi huo.