Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,378
- 56,047
[emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23]Miaka kama 3 iliyopita nilikua abroad kuna malaya akaomba nikirudi nimnunulie s9 plus,kipindi iko ilikua inagonga kwenye usd 600,kiroho safi nikakubali,ila siku naenda kununua hiyo simu wakati niko dukani machale yakanicheza,hilo duka lina upande wanauza used na refurbished phones,nikaenda huko nikamchukulia j5 used kwa usd 90,siku nampa nikamsomesha kiume akaelewa,nov last year akaniblock pumbavu kwa simu niliynunua kwa pesa yangu