makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3525][emoji3525][emoji3525][emoji3525]Lol tushaachana kitambo
Kufa kufaana naligombea nikiwa namba wani na wewe nitaomba uwe campaign meneja wanguJimbo halina mwenyewee!!!!hiloo [emoji3][emoji3][emoji23][emoji23]
Inaweza ikawa sio hela itakua yamemkuta kama yaliyonikutaga mimi sema mimi nilijiongeza la sivyo ningekua naumia mpaka leoKukosa hela ni shida sana.....
Ulijiongezaje mufti!?Inaweza ikawa sio hela itakua yamemkuta kama yaliyonikutaga mimi sema mimi nilijiongeza la sivyo ningekua naumia mpaka leo
Duh!! UmedhamiriaKwa mahondaw nipo tayari hata kwenda kwa mganga kuloga watakaochukua fomu.
Jimbo zima linajua nilisivyo na utani. Basi usisahau kunifanyia connection ili nikichukua jimbo utapata ujira wako. Hakuna haja ya kumtafuta steve Nyerere wakati UpoDuh!! Umedhamiria
Bila shaka wapinzani wamekusikia.
Cc Smart911Was just an appreciation mkuu! Yaliyopita si ndwele
Miaka kama 3 iliyopita nilikua abroad kuna malaya akaomba nikirudi nimnunulie s9 plus,kipindi iko ilikua inagonga kwenye usd 600,kiroho safi nikakubali,ila siku naenda kununua hiyo simu wakati niko dukani machale yakanicheza,hilo duka lina upande wanauza used na refurbished phones,nikaenda huko nikamchukulia j5 used kwa usd 90,siku nampa nikamsomesha kiume akaelewa,nov last year akaniblock pumbavu kwa simu niliynunua kwa pesa yanguUlijiongezaje mufti!?
Mie siwezi mambo ya ukipemba..Jimbo zima linajua nilisivyo na utani. Basi usisahau kunifanyia connection ili nikichukua jimbo utapata ujira wako. Hakuna haja ya kumtafuta steve Nyerere wakati Upo
[emoji23]Miaka kama 3 iliyopita nilikua abroad kuna malaya akaomba nikirudi nimnunulie s9 plus,kipindi iko ilikua inagonga kwenye usd 600,kiroho safi nikakubali,ila siku naenda kununua hiyo simu wakati niko dukani machale yakanicheza,hilo duka lina upande wanauza used na refurbished phones,nikaenda huko nikamchukulia j5 used kwa usd 90,siku nampa nikamsomesha kiume akaelewa,nov last year akaniblock pumbavu kwa simu niliynunua kwa pesa yangu
🤔Pamoja na yoooootee!! Abarikiwe tu Yule Mwanaume....
Unanionea bure.Unataka kuwa mpinzani wangu. Naanza na wewe
Yalikukuta yapi best?Inaweza ikawa sio hela itakua yamemkuta kama yaliyonikutaga mimi sema mimi nilijiongeza la sivyo ningekua naumia mpaka leo
Shikamoo tecnoUtajua ww mkuu.
Mimi nshawai kuhonga simu tena Tecno Camon 12.
Demu alikua ananipa hadi Tigo.
Sema nlikuja kuachana nae.
Simu niliyonunua kwa pesa yangu ndio iliyofanya kazi ya kuniblockYalikukuta yapi best?
HahaaaaUnanionea bure.