Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,378
- 56,047
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuh genious wewe aiseeeKuna muhuni aliniletea kiswaswadu cha nokia obama nyuuu kwa elfu 7 kiwango cha oale lumumba.. Akaja mwali analialia anataka simu nikampa, nikala mzigo, kwake ni simu ila kwangu ni elfu 7.
Kuna dogo alileta tecno nyu nyuu hivi akaweka kwa elfu 4 muda ukapitiliza hajagomboa, akaja mwali analia hana simu nikampa, nikala mzigo kwake ni simu ila kwangu ni elfu 4.
[emoji41]
Harufu ya ubwabwa nimeimis
Tumeambiwa tuishi nao kwa akili..Duuh genious wewe aiseee
Njoo ule hapa na maharagee!!Harufu ya ubwabwa nimeimis
Picha please
Nanyi mshaaachana na yule basha wako tuje kupiga campaign hilo jimbo?Pamoja na yoooootee!! Abarikiwe tu Yule Mwanaume....
@Smart911Pamoja na yoooootee!! Abarikiwe tu Yule Mwanaume....
Mkuu nimekuelewa sana.Habarini wana jamvi.
Aisee kuhonga hakuepukiki kabisa kwenye maisha ya siku hizi, honga vyote ila usihonge simu wakuu.
Kwa upande wangu kiukweli ntahonga hata mwili kwa ma shuga mummy lakini siyo simu.
Bado nawaza wanaoweza wanawezaje, bora uhonge hela yeye ndio aamue kununua simu.
Nb: Shtuka shtuka ba mdogo kuhonga simu undezi huo.
Was just an appreciation mkuu! Yaliyopita si ndweleUngemzalia basi ili aendelee kubarikiwa
Future impossible tense lol?Hapo sawa!!nimeridhika aseehh!mi nataka ubwabwa mwaka huu!niwe ktk kamati ya mc na mziki!!![emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Lol tushaachana kitamboHatutaki kumuona, sisi tumezoea "KUWAONA"
Kaka madenge na EINSTEIN112 mna maoni ganiHabarini wana jamvi.
Aisee kuhonga hakuepukiki kabisa kwenye maisha ya siku hizi, honga vyote ila usihonge simu wakuu.
Kwa upande wangu kiukweli ntahonga hata mwili kwa ma shuga mummy lakini siyo simu.
Bado nawaza wanaoweza wanawezaje, bora uhonge hela yeye ndio aamue kununua simu.
Nb: Shtuka shtuka ba mdogo kuhonga simu undezi huo.
Kaka madenge na EINSTEIN112 mna maoni gani