ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Asante kwa mwongozoPamoja na yoooootee!! Abarikiwe tu Yule Mwanaume....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante kwa mwongozoPamoja na yoooootee!! Abarikiwe tu Yule Mwanaume....
Mtu unamnunulia simu ya bei malaya halafu inamsajiria na line kabisa kwa kitambulisho chako kisa yeye hajapata namba ya Nida halafu mwisho wa siku simu hiyo anatumia kuwasiliana na ex wake na masela wengine mpaka anajipiga picha za ajabu anamrushia msela mbaya zaidi kwenye hiyo simu namba yako wewe amesave bila jina au hajasave kabisa ila ameikariri halafu amesave watu wengine kwa majina kama My, Love, Sweetheart, Only one, nk.Habarini wana jamvi.
Aisee kuhonga hakuepukiki kabisa kwenye maisha ya siku hizi, honga vyote ila usihonge simu wakuu.
Kwa upande wangu kiukweli ntahonga hata mwili kwa ma shuga mummy lakini siyo simu.
Bado nawaza wanaoweza wanawezaje, bora uhonge hela yeye ndio aamue kununua simu.
Nb: Shtuka shtuka ba mdogo kuhonga simu undezi huo.
Nimeonesha nguvu ya kuhonga mkuu. Yaani utapewa kila kitu nilitaka tu ionekane hivo.Kwaiyo kula tigo ndo ujanja
Pole sana, Nilijua tu mtaachana, na alia anakusomesha kilometer tu.Pamoja na yoooootee!! Abarikiwe tu Yule Mwanaume....
Mie nilishanunulia jitu simu na kulisajiria line halafu likaja kuwa linaniblock linaenda halafu likimaliza linaniunblock hii midemu ya siku hizi hasara tuHamjamuelewa. Anachoongelea sio thamani ya simu. Anaweza kuhonga hata sh milioni 2 pesa taslimu lakini sio kumnunulia mwanamke simu ya laki 2. Yaani anahisi atakuwa anamrahisishia mawasiliano na wanaume wengine. Inauma simu umenunua wewe halafu hiyo hiyo inatumika kuwasilianana na wanaume wengine.
BwahahahahahahaPole sana, Nilijua tu mtaachana, na alia anakusomesha kilometer tu.
[emoji848][emoji848]wizooo....sikuelewi elewi!!!kaka yu wapi?!![emoji23]Pamoja na yoooootee!! Abarikiwe tu Yule Mwanaume....
Pole mkuu huu mchezo auitaji hasira[emoji1787][emoji1787]Mie nilishanunulia jitu simu na kulisajiria line halafu likaja kuwa linaniblock linaenda kutombwa halafu likimaliza linaniunblock hii midemu ya siku hizi hasara tu
Sijacheka .... Siku nzima ya Leo....😂😂Mie nilishanunulia jitu simu na kulisajiria line halafu likaja kuwa linaniblock linaenda kutombwa halafu likimaliza linaniunblock hii midemu ya siku hizi hasara tu
Yupo Mbona. Wewe peruzi peruzi vizuri utamuona[emoji848][emoji848]wizooo....sikuelewi elewi!!!kaka yu wapi?!![emoji23]juu
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Pamoja na yoooootee!! Abarikiwe tu Yule Mwanaume....
Smart911 njoo ule pongezi zako huku mkurungwa mwenzangu.Pamoja na yoooootee!! Abarikiwe tu Yule Mwanaume....