kilamba lamba
JF-Expert Member
- May 27, 2020
- 427
- 738
Nyie ndo mnahonga magari tunaendesha sisiSimu tu inakuuma kuhonga?😅
Tukisema tuliyohonga si utashangaa mkuu
DaaaaahhTatizo una hela za mawazo
Unahongaje ambayo anatumia kukusalitiKwahiyo simu ina thamani kuliko mwili wako kwa hao shuga mamiz wako!???aisee
Hahahaha sawaa,kwanini unasema huwezi kuhonga simu Bora pesa?Nyie ndo mnahonga magari tunaendesha sisi
Hujanijibu swali,.Unahongaje ambayo anatumia kukusaliti
Hamjamuelewa. Anachoongelea sio thamani ya simu. Anaweza kuhonga hata sh milioni 2 pesa taslimu lakini sio kumnunulia mwanamke simu ya laki 2. Yaani anahisi atakuwa anamrahisishia mawasiliano na wanaume wengine. Inauma simu umenunua wewe halafu hiyo hiyo inatumika kuwasilianana na wanaume wengine.
Utajua ww mkuu.Yani nku honge simu afu simu iyo iyo uitumie kuni letea dharau
Kwaiyo kula tigo ndo ujanjaUtajua ww mkuu.
Mimi nshawai kuhonga simu tena Tecno Camon 12.
Demu alikua ananipa hadi Tigo.
Sema nlikuja kuachana nae.
😱😱Wacha weeehUtajua ww mkuu.
Mimi nshawai kuhonga simu tena Tecno Camon 12.
Demu alikua ananipa hadi Tigo.
Sema nlikuja kuachana nae.