Kuna vitu vya kukimbilia lakini sio kuoa

Kuna vitu vya kukimbilia lakini sio kuoa

heri kuoa mapema kuliko ukiwa mzee je? Uki pa ukiwa na miaka sitini mtoto wenyi wa kwanza kitambo agrow uzee bado wabisha
 
Ni heri uchelewe kuoa uje uoe uzeeni uishi kwa amani kuliko kujifanya unapiga Shortcut unaibuka na hii miguberi ya Wantanshi na Elements, wanajifanya Corporate girls, Wife material, kumbe manyau tu yanaekti kuliko Denzel Washington.

Unakurupuka unaoa kisa washkaji wanakwambia umri umeenda, kumbe umeoa Parking ya Gesti, kila mtu anapaki haina mwenyewe.Kuoa sio ishu, umemuoa nani hilo ndo swali...Mijanamke iko mingi kama vumbi stoo, Wanawake wako wachache sana kama bikira Uwanja wa Fisi.

Omba sana, ukitumia Macho yako, Tamaa, na Presha za ndugu na marafiki utaishia kuusikia Uzee kwenye Taarifa ya habari ya TBC 1...

Kwa hisani ya wachaga waishio Arusha
Tupo pamoja,,,, kuoa duuuuuh baadae sanaaa wakuo na kuolewa wao waendeleee tu.
 
Hahahahah but kama ali-retire inakuwa afadhali zaidi kuliko kipindi yupo hot on peak
Kweli
Ujue akiwa retired ni sawa ila ukimkuta kwenye kiwango chake speed 120, unakufa na utamu wako mbona
 
Kweli
Ujue akiwa retired ni sawa ila ukimkuta kwenye kiwango chake speed 120, unakufa na utamu wako mbona
Hahaha hiyo inaitwaga Usithubutu kukutwa na Bwana pepsi hahahah Utafurahi na roho yako
 
heri kuoa mapema kuliko ukiwa mzee je? Uki pa ukiwa na miaka sitini mtoto wenyi wa kwanza kitambo agrow uzee bado wabisha
Sasa kwani usipooa kizazi kinakuwa hakipo au? Kama kipo basi kuchelewa kuzaa ni uamuzi wako
 
Ni heri uchelewe kuoa uje uoe uzeeni uishi kwa amani kuliko kujifanya unapiga Shortcut unaibuka na hii miguberi ya Wantanshi na Elements, wanajifanya Corporate girls, Wife material, kumbe manyau tu yanaekti kuliko Denzel Washington.

Unakurupuka unaoa kisa washkaji wanakwambia umri umeenda, kumbe umeoa Parking ya Gesti, kila mtu anapaki haina mwenyewe.Kuoa sio ishu, umemuoa nani hilo ndo swali...Mijanamke iko mingi kama vumbi stoo, Wanawake wako wachache sana kama bikira Uwanja wa Fisi.

Omba sana, ukitumia Macho yako, Tamaa, na Presha za ndugu na marafiki utaishia kuusikia Uzee kwenye Taarifa ya habari ya TBC 1...

Kwa hisani ya wachaga waishio Arusha
Mmmmmh!hatari sana {ukweli Tupu huo kwan wanakwambia kosea kujenga Nyumba utabomoa ila sio kuoa}
 
Ni almost miaka mitatu nimeondoka mtaa niliokulia, kuna madogo niliwaacha kama miaka 6,7 hivi ila nimekuta wameshazalisha vibinti na kuishi navyo kwa maisha ya kuungaunga sana na ya mashaka hadi sura zao zimezeeka kwa majukumu wasiyoyaweza, nimestaajabu sana.
 
Ni heri uchelewe kuoa uje uoe uzeeni uishi kwa amani kuliko kujifanya unapiga Shortcut unaibuka na hii miguberi ya Wantanshi na Elements, wanajifanya Corporate girls, Wife material, kumbe manyau tu yanaekti kuliko Denzel Washington.

Unakurupuka unaoa kisa washkaji wanakwambia umri umeenda, kumbe umeoa Parking ya Gesti, kila mtu anapaki haina mwenyewe.Kuoa sio ishu, umemuoa nani hilo ndo swali...Mijanamke iko mingi kama vumbi stoo, Wanawake wako wachache sana kama bikira Uwanja wa Fisi.

Omba sana, ukitumia Macho yako, Tamaa, na Presha za ndugu na marafiki utaishia kuusikia Uzee kwenye Taarifa ya habari ya TBC 1...

Kwa hisani ya wachaga waishio Arusha

Nitaendelea kuwa single
 
Very true mkuu ,hii miguberi inayopenda starehe kwa kujidai ni utandawazi imewapeleka watu wengi kwenye early grave/premature Death.Ni vizuri kuomba mungu atusaidie kupata mke sio jinamke.
Na usiposhtuka watakuchuna hadi uzeeke....
 
Back
Top Bottom