Kuna vitu vya kukimbilia lakini sio kuoa

Kuna vitu vya kukimbilia lakini sio kuoa

Ni almost miaka mitatu nimeondoka mtaa niliokulia, kuna madogo niliwaacha kama miaka 6,7 hivi ila nimekuta wameshazalisha vibinti na kuishi navyo kwa maisha ya kuungaunga sana na ya mashaka hadi sura zao zimezeeka kwa majukumu wasiyoyaweza, nimestaajabu sana.
Hahahah kweli asee ukavamia majukumu unazeeka mapema
 
Mmmmmh!hatari sana {ukweli Tupu huo kwan wanakwambia kosea kujenga Nyumba utabomoa ila sio kuoa}
Ukikosea kuoa jiandae tu kufa, Kama sio kwa magonjwa ya kuambukizwa basi presha, kujinyonga au hata kuwekewa sumu ya panya
 
mkuu,
ni kweli uwanja wa fisi kuna bikra mitaa ile..!!??
mmh sina hakika, ila sidhani mkuu hata kwa tochi haiko
 
Ngoja nikupe vigezo vya kuoa mke Jf maarufu:

reception nzuri
Awe na chura
Awe na bunduki
Awe ni muelewa mwenye upeo
Mrefu wa wastani
Awe na mapenzi ya dhati
Ajitambue
Awe na uwezo wa kuchanganua mambo.
Awe na elimu angalau isipungue form 4.
He hee umemaliza kwa mujibu wa MMU
 
Back
Top Bottom