Kuna viumbe sayari zingine!!!?

Inamaana mmoja tunaye humuhumu tz kwanini tusiwsite wanasayansi waje wamfanyie utafiti

kama na huyu UFO SARO, kuna uwezekano ikawa ni kweli ni allien naskia alishawahi pigwa risasi nyingi tu na mzazi mwenzie cha kushangaza wote walikufa ila yeye aka survive kuna uwezekano siku moja akapotea na kurudi kwao kwenye.hizo sayari zingine
 

kiukweli viumbe hao wapo na tanzania wapo watatu
maandiko yanasema dunia itakua chini ya utawala wa shetani kabla ya kukombolewa na mungu yesu mungu wa wote

Tua mzigo wa ujinga ww.
 
we mjinga sana.... unakuja bila argument unaandika upuuzi... subiri shule zifunguliwe urudi darasani

Yesu mungu wako ww sio wa wote mamaa we.we mpaka leo unaamin ujinga kuwa yesu mungu we ndo mjinga wa mwisho.mungu anakula,mungu anapigwa na aliowaumba wanamzid nguvu?mungu anaenda kujisaidia.we kwel una akil
 
Yesu mungu wako ww sio wa wote mamaa we.we mpaka leo unaamin ujinga kuwa yesu mungu we ndo mjinga wa mwisho.mungu anakula,mungu anapigwa na aliowaumba wanamzid nguvu?mungu anaenda kujisaidia.we kwel una akil

naona umetu quote watu wawili, mimi siikuongelea religion sasa nakushangaa, i talked of science....
afu hata kama namuamini Yesu hizo shida ni zangu, ya nini unitafte vita? utakufa maskini mjinga wewe, unakaa kufuatiliandini za wenzako badala ya kutafta hela... makalio kama nyie ndio sababu nchi haiendelei... Mtu ana imani zake, wewe zinakuuma, kama anaamini hivo inakupunguzia nini? kajinyonge pumbavu
 
kiukweli viumbe hao wapo na tanzania wapo watatu
maandiko yanasema dunia itakua chini ya utawala wa shetani kabla ya kukombolewa na mungu yesu mungu wa wote

wako wap
 
Lazima wapo. Galaxy inatisha. Kubwa mno.
 
Usikute kuna clone ya dunia huko kwenye universe. Wanaishi kama sisi. Ila kwa upande wa tanzania hawana CCM wana CDM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…