Kuna viumbe sayari zingine!!!?

Kuna viumbe sayari zingine!!!?

Inamaana mmoja tunaye humuhumu tz kwanini tusiwsite wanasayansi waje wamfanyie utafiti

kama na huyu UFO SARO, kuna uwezekano ikawa ni kweli ni allien naskia alishawahi pigwa risasi nyingi tu na mzazi mwenzie cha kushangaza wote walikufa ila yeye aka survive kuna uwezekano siku moja akapotea na kurudi kwao kwenye.hizo sayari zingine
 
Hahaha! NASA hawajakamata kiumbe chochote kutoka sayari nyingine, wala hawajakiona hata kimoja, kwa lugha nyingine umedanganywa mchana kweupeeeee... Hahaha! Kwenye sayari nyingine kuna viumbe ndio ila sio viumbe hai, hapa naongelea kuna vitu kama mawe, zipo nyingine zinasemekana kua na maji, kuna sayari nyingine ni almasi peke yake, madini mbalimbali kama chuma yamejaa mars, nyingine zimetengenezwa kwa gases nzito, na kadhalika, ila kiumbe hai hakijapatikana HATA KIMOJA... Anayekwambia vingine anataka kunogesha story tu.. ila ulimwengu ni mkubwa sana, sana sana ukisema uumalize utapanda rocket miaka tilioni unasafiri na bado hujafika hata nusu, kwa ukubwa huu labda siku moja tutabahatisha viumbe hai.. japo pia speed ya rocket zetu ni 11km/s, hapa hadi mars tu karibu kabisa tunatumia miezi sita kusafiri kufika... Sayari yenye maji iliyoko mbali itatuchukua miaka milioni kadhaa kwa speed hiyo hilo nalo tatizo... Tusubiri kuna technology mpya inaitwa warp drive endapo itawezekana basi tutaweza kwenda kwa sekunde tu.... Till then hakuna kitu kama uhai sehemu nyingine..

kiukweli viumbe hao wapo na tanzania wapo watatu
maandiko yanasema dunia itakua chini ya utawala wa shetani kabla ya kukombolewa na mungu yesu mungu wa wote

Tua mzigo wa ujinga ww.
 
we mjinga sana.... unakuja bila argument unaandika upuuzi... subiri shule zifunguliwe urudi darasani

Yesu mungu wako ww sio wa wote mamaa we.we mpaka leo unaamin ujinga kuwa yesu mungu we ndo mjinga wa mwisho.mungu anakula,mungu anapigwa na aliowaumba wanamzid nguvu?mungu anaenda kujisaidia.we kwel una akil
 
Yesu mungu wako ww sio wa wote mamaa we.we mpaka leo unaamin ujinga kuwa yesu mungu we ndo mjinga wa mwisho.mungu anakula,mungu anapigwa na aliowaumba wanamzid nguvu?mungu anaenda kujisaidia.we kwel una akil

naona umetu quote watu wawili, mimi siikuongelea religion sasa nakushangaa, i talked of science....
afu hata kama namuamini Yesu hizo shida ni zangu, ya nini unitafte vita? utakufa maskini mjinga wewe, unakaa kufuatiliandini za wenzako badala ya kutafta hela... makalio kama nyie ndio sababu nchi haiendelei... Mtu ana imani zake, wewe zinakuuma, kama anaamini hivo inakupunguzia nini? kajinyonge pumbavu
 
kiukweli viumbe hao wapo na tanzania wapo watatu
maandiko yanasema dunia itakua chini ya utawala wa shetani kabla ya kukombolewa na mungu yesu mungu wa wote

wako wap
 
Usikute kuna clone ya dunia huko kwenye universe. Wanaishi kama sisi. Ila kwa upande wa tanzania hawana CCM wana CDM
 
Back
Top Bottom