Kuna viungo vya mwili lazima vifanane

Kuna viungo vya mwili lazima vifanane

Mwanaume aliyepigwa pasi huku nyuma na ana Vidole vya mikono virefu ogopa sana ni punda type hahaha
copy&paste

Sent using Jamii Forums mobile app

248c297a57624061d1895fe6b5e580e8.jpg
e52e8bf332b4a827ffd92dde56c54cbc.jpg


[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]

Mahondaw wa Smart911
 
hahaahha. mshana jr hii "siledi" yako umenikumbusha kesi moja iitokea kibaruani kwangu kati ya subordinate wangu. story iikuwa hivi: Huyo staff wa kike vidole vyake vya miguuni vimechanua sana, yaani vimepanuka kuna nafasi kubwa sana kati ya kidole na kidole, Staff wa kiume akamwambia yule dada kuwa " mwonekano wa vidole vyako jinsi vilivyochanua, hata K yako itakuwa pana hivyo hivyo"!
Du! dada yule alikasirika hadi akaleta mashitaka kwangu.
Bahati nzuri kwa kuwa mimi ni mtaalamu wa kitu kinachoitwa "strategic negotiation and mediation" basi nililiamua hilo suala na amani ikarejea. hahahaah
 
Lakini apigwe pasi kweli halafu vidole viwe virefu haswaa, kiganja kirefu na hii sehemu ya mkono katikati ya kiganja na kiwiko iwe ndefu

Nakupata nakupata sana madam..

Ndefu sana si zinaweza fanya mwanamke asitembee jamani duh! Ila watu na misuli yao mweh! Afu umkute fundi haswa Weeeee


Mahondaw wa Smart911
 
Back
Top Bottom