Kuna viungo vya mwili lazima vifanane

Kuna viungo vya mwili lazima vifanane

Aisee mpwa, we mchokozi sana. Kwahiyo wale dwarf wetu wa misitu ya Kongo, watakuwa na sisimizi kwenye pacha zao.

"PAMBANA NA HALI YAKO"
1+%281%29.png


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamani jamani jamani kuna watu ni wafukunyuzi hasa, na kimsingi huwa wanatuchora vilivyo na kwa sehemu kubwa wakiangalia baadhi ya viungo mwili vinavyoonekana na kulinganisha na visivyoonekana
Viungo maarufu ni midomo vidole vyote vya miguuni na mikononi
Kwamba mtu mwenye lips [emoji182] nene ama nyembamba basi kuna kiungo kingine vinafanana copy right
Kwamba kama mtu ana vidole virefu vinene ama vyembamba basi kuna pahala ni same same
[emoji15] [emoji2] [emoji2] [emoji23]kicheko ni pale ninapomuona mtu ana vidole vifupi sana kisha vyembamba wallah sipati picha pacha yake ikoje[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Chunguza sana watu wasiopenda kuvaa open shoes na muda wote hataki hata mikono yake uone....!!!!
Between hizi ni assumptions tu za wanadamu usitishike ukaanza kukosa uhuru na viungo vyako, na wewe acha ufukunyuzi na kuanza kukodolea watu mimacho

NB: kuna watu huchagua wenza kutokana na mwonekano wa viungo hasa midomo na vidole

Sent using Jamii Forums mobile app
Tutakimbiwa jamani wenye vidole vikubwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom