denoo49
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 6,113
- 6,950
Aisee mpwa, we mchokozi sana. Kwahiyo wale dwarf wetu wa misitu ya Kongo, watakuwa na sisimizi kwenye pacha zao.
"PAMBANA NA HALI YAKO"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee mpwa, we mchokozi sana. Kwahiyo wale dwarf wetu wa misitu ya Kongo, watakuwa na sisimizi kwenye pacha zao.
Aisee mpwa, we mchokozi sana. Kwahiyo wale dwarf wetu wa misitu ya Kongo, watakuwa na sisimizi kwenye pacha zao.
"PAMBANA NA HALI YAKO"
TrueKUNA USTAADHI MMOJA ANAITWA KISHKI ANAKUAMBIA KUWA HATA KWAPA LA MWANAMKE NI KIUNGO CHA SIRI MNOOOOOO.
Kuwa linafanana kabisa na maumbile yake ya siri.
We lazima uzae kwa operation.Sasa kama mim kamdomo kadogo maana yake nini
Tutakimbiwa jamani wenye vidole vikubwaJamani jamani jamani kuna watu ni wafukunyuzi hasa, na kimsingi huwa wanatuchora vilivyo na kwa sehemu kubwa wakiangalia baadhi ya viungo mwili vinavyoonekana na kulinganisha na visivyoonekana
Viungo maarufu ni midomo vidole vyote vya miguuni na mikononi
Kwamba mtu mwenye lips [emoji182] nene ama nyembamba basi kuna kiungo kingine vinafanana copy right
Kwamba kama mtu ana vidole virefu vinene ama vyembamba basi kuna pahala ni same same
[emoji15] [emoji2] [emoji2] [emoji23]kicheko ni pale ninapomuona mtu ana vidole vifupi sana kisha vyembamba wallah sipati picha pacha yake ikoje[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Chunguza sana watu wasiopenda kuvaa open shoes na muda wote hataki hata mikono yake uone....!!!!
Between hizi ni assumptions tu za wanadamu usitishike ukaanza kukosa uhuru na viungo vyako, na wewe acha ufukunyuzi na kuanza kukodolea watu mimacho
NB: kuna watu huchagua wenza kutokana na mwonekano wa viungo hasa midomo na vidole
Sent using Jamii Forums mobile app
Nawaona mnakula tu ubuyu[emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji8]
Mmmmmmh