Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji2] [emoji2] nimeweka mfano best sijamaanisha[emoji3][emoji3][emoji3] sina lips hizo aisee
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] rubiiMkuu mshana jr,
Assumption za namna hii zisizo rasmi ndizo zinazo aminiwa na kupendwa na kundi kubwa la watu, si wasomi wala wasio wasomi,
Lakini kuna watoto wazuri jamani, yaani ukiwaona huwezi hata kukumbuka hizo assumption,
Mfano mimi nkionaga comment au avata ya mtoto rubii wa jf akili inakimbilia kwenye kufikiria sura yake jinsi ilivyo nyororo uso wenye bashasha na umbo la kuvutia.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji15] [emoji15] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Kama nakuona tu ndugu yangu na vinundu vya vidole
the great
Unataka kifanane kipi na kipi?Viungo vya siri je?!
Tupe majibu ShunieAisee ebu ngoja kwanza niangalie lips zangu ni aina gani halaf nilinganishe na kiungo kisichoonekana
Mhhhh[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Ngoja nijiangalie vizuri kwanza
Hahahahahahaaaa kwani wewe hivo viungo vingine ulimaanisha wapi?
Duh huu mdomo kama kile kitu cha uvunguni