Kuna viungo vya mwili lazima vifanane

Kuna viungo vya mwili lazima vifanane

😵😵😵😵😵😵
horse-funny.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu mshana jr,
Assumption za namna hii zisizo rasmi ndizo zinazo aminiwa na kupendwa na kundi kubwa la watu, si wasomi wala wasio wasomi,

Lakini kuna watoto wazuri jamani, yaani ukiwaona huwezi hata kukumbuka hizo assumption,
Mfano mimi nkionaga comment au avata ya mtoto rubii wa jf akili inakimbilia kwenye kufikiria sura yake jinsi ilivyo nyororo uso wenye bashasha na umbo la kuvutia.

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] rubii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom