Kuna viungo vya mwili lazima vifanane

Kuna viungo vya mwili lazima vifanane

Kaka Mshana, japo hizi ni assumptions, lakini kwa kupitia observational research yangu, tena nikiwa na ushahidi wa kutosha, hili Jambo lina ukweli kwa asilimia kubwa. Ni vile tu kimaadili siwezi kuelezea details za uzoefu wangu ktk hili, basi niseme tu "kuna ukweli"
 
Tehtehteh Mi kuna wengine nikiwaangaliaga vidole au lips zao.. Moyoni Najichekea tu...wengine nikiona natoaje mimacho... [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]



Mahondaw wa Smart911
 
Back
Top Bottom