Kuna wachambuzi wamemisi Onyango aisee

Kuna wachambuzi wamemisi Onyango aisee

mugah di matheo

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2018
Posts
6,307
Reaction score
12,410
Hii apa....

Je na wewe umemiss nusu chuma nusu mtu?
IMG_20231029_121136.jpg
 
Nadhani kwanza tungeelewa

JE uwezo wa magolikipa wa Simba unatosha kusimama langoni?????

Ukimtoa Aishi Manula tu

Hatuoni kuwa Simba ilifanya makosa kwenye usajili kuhangaika na makipa kisa 10%.

unamuacha Golikipa kama John Noble unaangaika na Akina.

1. Ally salum
2.Ayoub Lakred.
3. Luis Santos.
4.jeffason Luis.
5. Hussein Abel

Aibu ya uongozi wa Simba
 
Nadhani kwanza tungeelewa

JE uwezo wa magolikipa wa Simba unatosha kusimama langoni?????

Ukimtoa Aishi Manula tu

Hatuoni kuwa Simba ilifanya makosa kwenye usajili kuhangaika na makipa kisa 10%.

unamuacha Golikipa kama John Noble unaangaika na Akina.

1. Ally salum
2.Ayoub Lakred.
3. Luis Santos.
4.jeffason Luis.
5. Hussein Abel

Aibu ya uongozi wa Simba
Tarehe 5 muwekeni ayubu 🤣
 
Ile siku ya ufunguzi pale kwa mkapa rais wa fifa alimuuliza mo "mbona simuoni baby boy a.k.a onyango...??"
Mo akabaki kubatasam tu...😁
 
Ila kwenye kwenye hii Reference ya Simba na uongozi nilishauri JOASH ONYANGO abaki akiwachallange Inonga na Malone.


 
Mbona aliwekwa Ally salum mbovu mala Mbili.
Akadaka penati Tanga

.Mbele ya Mayele mkala 2-0
Inonga na Kibu

Mbona unasahau mapema ama kichwa kimebeba kamasi????????????

PUNGUZA UNAZI NA USHABIKI WA KIPUMBAVU.
Acha kauli za kijiweni dogo nimekutukana hapa au unataka nilianzishe si ndio dogo kwani tanga alivodaka zile penati za kudesh kwenye mstari ndo umsifie wakati zilikuwa sio za halali na tarehe 5 utakoma we mbupu
 
Acha kauli za kijiweni dogo nimekutukana hapa au unataka nilianzishe si ndio dogo kwani tanga alivodaka zile penati za kudesh kwenye mstari ndo umsifie wakati zilikuwa sio za halali na tarehe 5 utakoma we mbupu
Mdaka mishale alishindwa nini kudeshi kama ni rahisi hivyo?
 
Acha kauli za kijiweni dogo nimekutukana hapa au unataka nilianzishe si ndio dogo kwani tanga alivodaka zile penati za kudesh kwenye mstari ndo umsifie wakati zilikuwa sio za halali na tarehe 5 utakoma we mbupu
.
Ally salum Alidaka Basi mbele ya Mayele.

Enock Inonga 1
Kibu Denis 1

FULL TIME SIMBA 2 YANGA 0

Unataka nini tena?????????
 
Back
Top Bottom