Kuna wadada wema tu ila wanauza Baa, shida hizi

Kuna wadada wema tu ila wanauza Baa, shida hizi

🤣🤣🤣 Nakumbuka Kuna Uzi ulisema una Binti mlokole,ulisema Hajui hata Nini sijui 🤔🤔🤔(nimesahau kidogo)na wewe kakusaidia umeokoka na ukaapia hapa Kwa miungu yako kwamba hutokaa umcheat!Sasa mbona hata miezi 6 bado BOOM💥💥! imekaaje?
 
Hakuna formula katika maisha, Inawezekana jamaa wakaja kupigwa na kuumizwa na huyo barmaid, ila pia Kuna uwezekano jamaa ndo amepata mke bora kiurahisi kabisa.
Kwa maelezo ya mtoa mada ni kama the lady ticks most of the boxes!! adimu sana mwanamke msomi kujituma kwenye shughuli za kijamii hasa usafi, hata kama ana hali mbaya kiasi gani kwenye maisha.
Kuna kitu kikubwa sana nimejifunza kwenye comment yako mkuu. Ubarikiwe.
 
Mkuu bado hujawajua vizuri hawa viumbe.......... ukimpa sikio lako mwanamke yeyote yule ambaye umemtamani at the first place basi ujue umekwisha
Nakuhakikishia stori aliyokupa ukiigeuza kinyume chake ndio kweli

Hakuna mwanamke timamu mwenye digirii yake out of kazi zoote akachagua kuuza baa kujitafuta......

We ukitaka kumuoa uo tu, anaweza kukufaa au laa
Lakini usitumie huruma kumuona muhanga
 
Huu ni moja ya wakati ambao unatakiwa kuwa makini sana na maamuzi yako. Fatilia taratibu sana umjue upande wa pili. Jitahidi ujue kwanini aliachana na jamaa na kwanini jamaa alikataa kuzaa nae? lakini pia kwanini jamaa alimzuia kufanya kazi?

Hayo ni maswali marahisi sana kwa kuyatazama ila majibu yake yanaweza kukupa reflection tofauti kabisa.

Kwa bahati mbaya tunayo experience mbaya kuhusu baadhi ya wanawake wasomi, wengi wamejaa nyodo, majivuno, dharau, umalaya, ujuaji na kujiona kwingi.
Fatilia kwa makini sanaaa hii dunia ni ngumu
 
Ningekuwa mimi ndo wewe kwenye hiyo position na status uliyonayo huyo mwanamke nisigeacha. Hiyo combinations tu ya kuwa ana elimu na alifaulu vizuri darasan halafu kaja ghetto kwako kakufulia nguo na kutosha vyombo vyako kwa ustadi wa hali ya juu, ni adimu kuipata kwa wanawake wengi sana..
She seems to be loyal too kwa mwanaume aliye naye.
Trust me utachukua Mika mingi na unaweza usimpate kama. Huyo
Umesomeka sana mkuu.
 
Bro sijajua umri wako ila nina miaka 19 ya ndoa!!
Story yangu kwenye kuchagua mke pengine ni complex kuliko hii aliyoleta mdau hapa, nilisikiliza tu moyo wangu kwa wakati huo,
Nimekuwa na mahusiano kadhaa kabla na baada ya kuoa ila to honest sojapata anayefanana na mke wangu hata kwa nusu. Na kama ningemkosa kipindi kile basi naamini hadi leo ningekuwa natafuta mke.
Share story yako walau kwa ufupi tu mkuu....
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nakumbuka Kuna Uzi ulisema una Binti mlokole,ulisema Hajui hata Nini sijui [emoji848][emoji848][emoji848](nimesahau kidogo)na wewe kakusaidia umeokoka na ukaapia hapa Kwa miungu yako kwamba hutokaa umcheat!Sasa mbona hata miezi 6 bado BOOM[emoji95][emoji95]! imekaaje?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huu ni moja ya wakati ambao unatakiwa kuwa makini sana na maamuzi yako. Fatilia taratibu sana umjue upande wa pili. Jitahidi ujue kwanini aliachana na jamaa na kwanini jamaa alikataa kuzaa nae? lakini pia kwanini jamaa alimzuia kufanya kazi?

Hayo ni maswali marahisi sana kwa kuyatazama ila majibu yake yanaweza kukupa reflection tofauti kabisa.

Kwa bahati mbaya tunayo experience mbaya kuhusu baadhi ya wanawake wasomi, wengi wamejaa nyodo, majivuno, dharau, umalaya, ujuaji na kujiona kwingi.
Fatilia kwa makini sanaaa hii dunia ni ngumu
Nimekusoma sana Good Father
 
Back
Top Bottom