Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Mungu amsaidieIla huyu sio muongo mkuu.
Kuna kitu kikubwa sana nimejifunza kwenye comment yako mkuu. Ubarikiwe.Hakuna formula katika maisha, Inawezekana jamaa wakaja kupigwa na kuumizwa na huyo barmaid, ila pia Kuna uwezekano jamaa ndo amepata mke bora kiurahisi kabisa.
Kwa maelezo ya mtoa mada ni kama the lady ticks most of the boxes!! adimu sana mwanamke msomi kujituma kwenye shughuli za kijamii hasa usafi, hata kama ana hali mbaya kiasi gani kwenye maisha.
Umesomeka sana mkuu.Ningekuwa mimi ndo wewe kwenye hiyo position na status uliyonayo huyo mwanamke nisigeacha. Hiyo combinations tu ya kuwa ana elimu na alifaulu vizuri darasan halafu kaja ghetto kwako kakufulia nguo na kutosha vyombo vyako kwa ustadi wa hali ya juu, ni adimu kuipata kwa wanawake wengi sana..
She seems to be loyal too kwa mwanaume aliye naye.
Trust me utachukua Mika mingi na unaweza usimpate kama. Huyo
Kwa uzoefu wangu kama mnywaji na mmiliki wa grosare NAKAZIA HAPABarmaid yoyote ni malaya
Umesomeka buddah.oa kwanza uje utupe mrejesho..
ila kapime nae kwanza
HahaaKwahiyo mkuu hutaki watu tuhudumiwe bar na wanawake.?
Tena sio kdg, hadi sasa yuko kwangu.Mkuu mm sio mtabiri ila umesha mtafuna
Mkuu ulimuacha kweli, au the vice versa is true [emoji23]Niliwahi kutana na barmaid kalaza one ya o level, three ya pcb na bachelor ya environmental science!!
Sikumlaaaaa! Tulikuwa marafiki Hadi akapotea.
Bamed wa digrii za ualimu, Sheria nk ni wengi mmno.
[emoji23][emoji23][emoji23]Endeleeni kujichanganya sisi tunaenda kuchekea mbali [emoji81][emoji81][emoji81]
Indeed, mkuu.Hakuna formula ya mafanikio kwenye mapenzi. Jamaa ausikilize tu moyo wake
[emoji848][emoji848]Upo sahihi ila angalau upate muda kidogo kumjua mtu. Ukikurupuka na mambo yakaenda vibaya majuto huwa makali zaidi.
Asante kwa kunisaidia mkuu, manake watu wengine sijui ni vipi tu.vyeti na document kadhaa ziko kwenye simu ni rahisi kuretrieve na kushare
Share story yako walau kwa ufupi tu mkuu....Bro sijajua umri wako ila nina miaka 19 ya ndoa!!
Story yangu kwenye kuchagua mke pengine ni complex kuliko hii aliyoleta mdau hapa, nilisikiliza tu moyo wangu kwa wakati huo,
Nimekuwa na mahusiano kadhaa kabla na baada ya kuoa ila to honest sojapata anayefanana na mke wangu hata kwa nusu. Na kama ningemkosa kipindi kile basi naamini hadi leo ningekuwa natafuta mke.
Mkuu - Mke Mwema anapatikana popote...Hata Humu JF wapo pia....Mke mwema anapatikana Bar, kanisani wamejaa wanafiki
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nakumbuka Kuna Uzi ulisema una Binti mlokole,ulisema Hajui hata Nini sijui [emoji848][emoji848][emoji848](nimesahau kidogo)na wewe kakusaidia umeokoka na ukaapia hapa Kwa miungu yako kwamba hutokaa umcheat!Sasa mbona hata miezi 6 bado BOOM[emoji95][emoji95]! imekaaje?
Hakika mkuu.Mkuu - Mke Mwema anapatikana popote...Hata Humu JF wapo pia....
Nimekusoma sana Good FatherHuu ni moja ya wakati ambao unatakiwa kuwa makini sana na maamuzi yako. Fatilia taratibu sana umjue upande wa pili. Jitahidi ujue kwanini aliachana na jamaa na kwanini jamaa alikataa kuzaa nae? lakini pia kwanini jamaa alimzuia kufanya kazi?
Hayo ni maswali marahisi sana kwa kuyatazama ila majibu yake yanaweza kukupa reflection tofauti kabisa.
Kwa bahati mbaya tunayo experience mbaya kuhusu baadhi ya wanawake wasomi, wengi wamejaa nyodo, majivuno, dharau, umalaya, ujuaji na kujiona kwingi.
Fatilia kwa makini sanaaa hii dunia ni ngumu