Kuna wadada wema tu ila wanauza Baa, shida hizi

[emoji1666]
 
” Yesu akawaambia, “Nawaambieni kweli, watoza ushuru na makahaba wanawatangulia kuingia katika Ufalme wa Mungu.
 
Waeleze mkuu!!!
 
Hii Trap mzee. Utapigwa tukuio hutokaa urudie tena. Wewe msaidie aende zake na uendelee kumfikiria huyo ulokua unamfikiria. Wanamake haswa hawa wakupatikana kwenye nyumba za Vileo na starehe sio wakuwaamini kamwe.
 
Hii Trap mzee. Utapigwa tukuio hutokaa urudie tena. Wewe msaidie aende zake na uendelee kumfikiria huyo ulokua unamfikiria. Wanamake haswa hawa wakupatikana kwenye nyumba za Vileo na starehe sio wakuwaamini kamwe.
[emoji848][emoji848][emoji848]

[emoji120][emoji120]
 
Waeleze mkuu!!!
Hahaa niliandika kule juu hakuna mtu atakupa ushauri tofauti na ambao ushajiamulia ukamuelewa. Mtu anaeomba ushauri huwa tayari ana maamuzi yake ila anataka aone nani na nani watamuunga mkono na si vinginevyo. Msalimie sana wifi.
 
Hahaa niliandika kule juu hakuna mtu atakupa ushauri tofauti na ambao ushajiamulia ukamuelewa. Mtu anaeomba ushauri huwa tayari ana maamuzi yake ila anataka aone nani na nani watamuunga mkono na si vinginevyo. Msalimie sana wifi.
Salamu zitamfikia bilashaka [emoji4]
 
Pamoja na ukongwe wangu JF since 2012, ila sijui namna ya kuweka update, nataka niwa-update kuhusiana na huu uzi wakuu, nafanyaje? [emoji28]

Mambo ni [emoji91][emoji91][emoji91][emoji2]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…