Down To Earth
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 21,940
- 16,643
oya unazingua😅😅Wewe ni ME au KE? Tuanzie hapa kwanza [emoji28]
nna shida na hio pisi mwanangu fanya maajabu kamanda😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
oya unazingua😅😅Wewe ni ME au KE? Tuanzie hapa kwanza [emoji28]
Njo PMoya unazingua[emoji28][emoji28]
nna shida na hio pisi mwanangu fanya maajabu kamanda[emoji23]
[emoji1666]Kwani bar Kuna tatizo gani kama sio wao wewe ungeenda hapo Nani akakupe huduma na usafi.
Acheni hulkq mbaya Hawa nao ni wafanyakazi na wanahitaji kuishi.
Tena ukiweza kumtoa hapo mahali utashangaa akawa mwanamke hasa wa kuishi.
Sio wote wako unavyodhania.
Noted [emoji1666]Anza kuchapa kwanza usimweke ndani akakae kwa dada yake.
Usije kupigwa na kitu kizito.
[emoji1666]Wewe wasema kuna watu wanapitia ugumu katika maisha hana choice maisha ni fumbo eti
[emoji848][emoji848]” Yesu akawaambia, “Nawaambieni kweli, watoza ushuru na makahaba wanawatangulia kuingia katika Ufalme wa Mungu.
Tulitumiana na kuachana kwa 'mutual agreement' sio kwa kuzingatia interest zangu pekee[emoji28][emoji28]
Halafu ukawatumia na kuwaacha [emoji23][emoji23]
Copy! [emoji28]Tulitumiana na kuachana kwa 'mutual agreement' sio kwa kuzingatia interest zangu pekee
Waeleze mkuu!!!Kwani bar Kuna tatizo gani kama sio wao wewe ungeenda hapo Nani akakupe huduma na usafi.
Acheni hulkq mbaya Hawa nao ni wafanyakazi na wanahitaji kuishi.
Tena ukiweza kumtoa hapo mahali utashangaa akawa mwanamke hasa wa kuishi.
Sio wote wako unavyodhania.
[emoji120][emoji120][emoji4][emoji4] Utu
[emoji848][emoji848][emoji848]Hii Trap mzee. Utapigwa tukuio hutokaa urudie tena. Wewe msaidie aende zake na uendelee kumfikiria huyo ulokua unamfikiria. Wanamake haswa hawa wakupatikana kwenye nyumba za Vileo na starehe sio wakuwaamini kamwe.
Hahaa niliandika kule juu hakuna mtu atakupa ushauri tofauti na ambao ushajiamulia ukamuelewa. Mtu anaeomba ushauri huwa tayari ana maamuzi yake ila anataka aone nani na nani watamuunga mkono na si vinginevyo. Msalimie sana wifi.Waeleze mkuu!!!
Salamu zitamfikia bilashaka [emoji4]Hahaa niliandika kule juu hakuna mtu atakupa ushauri tofauti na ambao ushajiamulia ukamuelewa. Mtu anaeomba ushauri huwa tayari ana maamuzi yake ila anataka aone nani na nani watamuunga mkono na si vinginevyo. Msalimie sana wifi.
Hakika [emoji1666]Si haki kuwaweka watu wote katika kundi fulani katika aina moja ya tabia
You don't you leaveMkuu uko serious au unatania? [emoji848]