Kuna wadada wema tu ila wanauza Baa, shida hizi

Ningekuwa mimi ndo wewe kwenye hiyo position na status uliyonayo huyo mwanamke nisigeacha. Hiyo combinations tu ya kuwa ana elimu na alifaulu vizuri darasan halafu kaja ghetto kwako kakufulia nguo na kutosha vyombo vyako kwa ustadi wa hali ya juu, ni adimu kuipata kwa wanawake wengi sana..
She seems to be loyal too kwa mwanaume aliye naye.
Trust me utachukua Miaka mingi na unaweza usimpate kama. Huyo
 
Kwahiyo mkuu hutaki watu tuhudumiwe bar na wanawake.?
 
Endeleeni kujichanganya sisi tunaenda kuchekea mbali [emoji81][emoji81][emoji81]
 
Upo sahihi ila angalau upate muda kidogo kumjua mtu. Ukikurupuka majuto huwa makali zaidi.
Bro sijajua umri wako ila nina miaka 19 ya ndoa!!
Story yangu kwenye kuchagua mke pengine ni complex kuliko hii aliyoleta mdau hapa, nilisikiliza tu moyo wangu kwa wakati huo,
Nimekuwa na mahusiano kadhaa kabla na baada ya kuoa ila to honest sojapata anayefanana na mke wangu hata kwa nusu. Na kama ningemkosa kipindi kile basi naamini hadi leo ningekuwa natafuta mke.
 
Mkuu,
Mimi naogopaga Sanaa 😊 wanawake wa bar na sehemu za starehe nawaonaga Kama ma VEMPIRE
 
Kuuza baa siyo shida, ile ni biashara na wanalipa Kodi tatizo tuna connotation mbaya ya baa ambayo imeanza kuathiri hadi tabia za wafanyakazi wa baa.
 
Mkuu huu ni utetezi kama utetezi mwingine wowote!

Kijana 'fresh' hajaoa, aanze ndoa yake ya kwanza kwa kuoa nungayembe?

Tuchukulie hili swala ni la kwako, mdogo'ako wa tumbo anataka kuoa, waweza mshauri aanze maisha yake ya kwanza ya ndoa na mwanamke aliyeachika?

Emb tuweni serious kwa ushauri bas!
 

Mimi sio bro ni mwanadada. Nina umri wa kutosha sakafu ya tatu sasa.

Wewe kama ulisikiliza moyo wako na hata hukutaka kujua unaenda kuoa mtu wa aina gani mambo yakatick basi ni jambo la kushukuru Mungu lkn vipi kama mambo yangeenda tofauti? Usingeandika hiyo comment yako . Maana yangu ni kwamba angalau kabla ya kuingia kwenye mahusiano hasa ya ndoa ni better kuchukua time kujuana angalau kidogo. Neno langu sio sheria ila tusikurupuke. ahsante!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…