Kuna wadada wema tu ila wanauza Baa, shida hizi

Kuna wadada wema tu ila wanauza Baa, shida hizi

Tena mwenye matokeo mazuri kuanzia O-Level mpk GPA ya Hatari

Chai hii
Mbona wengi sana hao, na muda si mrefu tutakuwa kama Nigeria muuza mahindi ana degree zake kadhaa. Vyuo vinatoa wahitimu na soko la ajira halina uwezo wa ku absorb.
Mtoto wa jirani yangu saa hii yupo bize kujifunza kushona na cherehani, hakuwahi kufeli toka na msingi hadi gegree usdm, na hana kazi. Unaweza kutoa chozi akikuonesha vyeti vyake
 
Mbona wengi sana hao, na muda si mrefu tutakuwa kama Nigeria muuza mahindi ana degree zake kadhaa. Vyuo vinatoa wahitimu na soko la ajira halina uwezo wa ku absorb.
Mtoto wa jirani yangu saa hii yupo bize kujifunza kushona na cherehani, hakuwahi kufeli toka na msingi hadi gegree usdm, na hana kazi. Unaweza kutoa chozi akikuonesha vyeti vyake
Mkuu,
Na shida na mwalimu wa kunifundisha kiingereza naomba uniunganishe nae akute ananinoa wakati anasikilizia ajira
 
Jana nilipita Baa Moja hivi usiku mkali kula, nikakuta ndio Bar inakaribia kufungwa. Ghafla nikasikia malumbano kati ya Meneja wa Baa na kabinti kamoja hivi (waitress). Kumcheki yule waitress sikuamini. Mrefu, ana rangi ya udhurungi, shape ya kwenda, pua ya kisomali halafu nywele mpaka mgongoni! Baada ya malumbano yule binti mhudumu akawa analia.

Malezi niliyopewa na wazazi wangu ni kusababisha tabasamu kwa wengine, ingawa sababu ya ziada ni uzuri wake pia, nikamuita yule waitress, nikamuuliza kulikoni mbona malumbano? Akaniambia, "kaka angu, tangu nianze kazi hapa nina siku ya 9, kila mhudumu wa kike ananichukia wanadhani nitawachukulia mabwana zao, kumbe mimi natafuta maisha".

Nikapatwa na simanzi sana. Nikamwambia basi usilie, agiza kinywaji. Akasema na kazi anaacha. Eeh! Nikashtuka, akamuuliza kaunta anamdai sh ngapi ya vinjwaji, akamlipa hela yote, akaniambia kaka angu kama unataka kuninunulia bia twende ukaninunulie kwengine ila silali na wewe, nikamwambia poa. Kumbe ananipeleka sehemu ambayo atakutana na mwenyeji wake.

Tukahama joint, tukafika kwenye night club Moja hivi, akawa anakunywa bia kwa hasira kama mtu mwenye msongo hadi nikawa namzuia, wakati tuko pale akaja dada mmoja ambaye nilimuacha primary madarasa mawili, anamuita yule waitress dada, nikamuuliza vipi mnafahamiana? Akasema huyu ni mtoto wa marehemu mama mkubwa na mimi ndio nimempokea hapa mjini anaishi kwangu, ana matatizo makubwa, na yeye ndio kanitumia msg yuko hapa ndio nimekuja, yule waitress akafurahi kuona nafahamiana na ndugu yake.

Tamaa zikanijaa, nikamuomba sana niondoke naye kwasababu mimi sio stranger kwake tena kwasababu nafahamiana na ndugu yake, akaanza kumuuliza ndugu yake mara mbilimbili kwamba unamuamini huyu kaka? Ndugu yake akamjibu ndio, namfahamu sana tangu tukiwa Primary. Ikabidi ndugu yake aniapize kwamba sitafanya ufirauni [emoji2]

Tukaondoka, nikam-drop mdg mtu kwake, nikasepa na manzi. Tumefika kwangu aisee story aliyonipa inahuzunisha sana. Aliolewa miaka 2 iliyopita na mwanaume ambaye alikuwa na familia mkoani. Yeye akiwa amaemaliza Shahada yake ya kwanza ya BAF (Bachelor of Accounts and Finance) na kazi nzuri, mwanaume akamshauri aache kazi, kwa mapenzi binti akaacha kazi. Mwaka mmoja baadaye mwanaume akaanza kumnyanyasa, na ndio akagundua kwamba mwamba alikuwa ana mke na watoto 4 mkoa X!!! Kumbe binti ni yatima na alizaliwa kwao peke yake. Anachoshukuru ni hakuzaa na yule mwanaume kwasababu mwanaume hakutaka kuzaa nae kwa wakati ule.

Nikamuuliza kwanini auze bar na taaluma yake? Akasema ilibidi akimbie ule mkoa alipoolewa aje mkoa huu kuficha aibu na kuwasahaulisha watu, na akaona hawezi kukaa tu kwa ndugu yake bila kujishughulisha na chochote wakati anatafuta ajira. Kikubwa zaidi kwenye ile bar aliyoacha kazi hakuna mtu aliyekuwa anajua binti ni msomi, alijishusha afanane nao, nikamuuliza kazi umeacha kweli? akanijibu nimeacha kaka.

Baada ya zile story usiku wa jana nikamwambia haya lala mama. Asubuhi wakati naamka nakuta kavaa pensi na t-shirt yangu vyombo vyote kaosha, nguo chafu kafua, kuna sufuria nilitakaga kuzitupa ila kaziosha zimekuwa nyeupe kama theluji. Nikamuomba anioshe vyeti soft copy, aisee ni kichwa hasa, O na A level ni vijiti tu, Sekondari zote kasoma za kike. Chuo GPA KUBWA!

Mchana nikampa maelekezo asipike nitamuagizia Chakula ikabidi sasa nimtafute yule ndugu yake akaanza ku-verify zile taarifa alizonieleza Binti. Wakuu Mimi sijaoa, il Kuna Binti ambaye nilikuwa namfikiria fikiria kumuoa ila hili ni jaribu kwakweli. Yani huu ni wakati mgumu sana napitia, sielewi kwakweli. Sijamfanya kitu tangu Jana. Sasa hivi ndio nimeingia kwangu na msosi wake namuangalia tu hapa namna alivyotulia kwenye kochi anatazama tamthilia.
Kama unaweza msaidie mkuu.
 
Mbona wengi sana hao, na muda si mrefu tutakuwa kama Nigeria muuza mahindi ana degree zake kadhaa. Vyuo vinatoa wahitimu na soko la ajira halina uwezo wa ku absorb.
Mtoto wa jirani yangu saa hii yupo bize kujifunza kushona na cherehani, hakuwahi kufeli toka na msingi hadi gegree usdm, na hana kazi. Unaweza kutoa chozi akikuonesha vyeti vyake
Ni kweli wapo wengi sana ila kwa performance aliyoelezewa huyo na sifa za muonekano wake angeomba hata kufanya kazi kwny maofisi ya watu au kuvolunteer ila sio kuuza bar

My own observation lakini
 
Watu wanawachukulia wahudumu wa bar kama Malaya,kama watu wasiyofaa

Hii siyo kweli

Huku nyuma Kuna maumivu makali mnoo ila Mungu ndiye anayejua
Sehemu inavyowachukulia wahudumu wa bar inaonesha mengi kuhusu maadili ya sehemu hiyo. Na mengine ni matatizo ya umasikini na ujinga tu.

Habari kama hizi zinanikumbusha mtoto mmoja Italian American nilifanya naye kazi hapo Wall Street, New York, New York. Mtoto kakaa kama Julia Roberts, aki smile unaweza kusahau kazi ukawa unamuangalia tu, mtoto mcheshi, mtoto anatoka familia bora baba yake alikuwa mkurugenzi mmoja mkubwa katika benki mashuhuri.

Licha ya yote hayo, huyo Julia lookalike alikuwa mcheshi sana. Sasa kila Ijumaa ilikuwa tunaulizana mipango ya weekend imekaaje? Siku moja akaniuliza, nikamwambia mipango yangu. Nikamuuliza na yeye, atafanya nini?

Jibu alilonipa lilinishangaza sana kwa binti ambaye nilimuweka matawi ya juu kama yeye. Aliniambia atakuwa anahudumia katika bar (bartend). Nikashangaa sana, mtoto mzuri, mwenye elimu, aliyetoka familia bora kama huyu anaenda kuwa barmaid tena?

Akanifafanulia zaidi, akasema huwa anafanya hivyo mara nyingi, bar yenyewe baba yake ni kati ya wanaoimiliki, halafu watu wanaokuja ni kama wanajuana wote, na kisha, anaipenda hiyo kazi kwa sababu anapata ku interact na watu sana na kumix vinywaji, zaidi, anapiga hela ndefu sana kwenye tips (huku kila mtu anayehudumiwa analipa bakhshishi/tip kwa mhudumu). So akasema huwa anapata mpaka dola za Kimarekani 500 kwa usiku mmoja kutokana na tips hizo.

Nikapata somo kubwa sana kwamba inawezekana kwa mwanamke mwenye heshima zake, mzuri, kijana, anayefanya kazi Wall St., anayetoka familia bora, akafanya kazi ya uhudumu wa bar, bila kuonekana malaya.

Nilijifunza pia kuwa wenzetu wanaheshimu sana kazi, yani huyu dada hakuona haya kusema kuwa yeye anafanya uhudumu bar, aliona fahari kuwa anafanya kazi, anatumia ujuzi wake wa ku mix vinywaji, anafanya kazi inayompa social interaction nzuri kwa family and friends, na anapata kipato kizuri cha ziada.

Na zaidi, nilijifunza kuwa wanaume wanaweza kwenda bar na kuwaheshimu wahudumu kwa kunywa vinywaji vyao bila kuwabugudhi wahudumu, na zaidi, kwa kuwapa tips nzuri tu zitakazoonesha wanathamini kazi zao.

Je, na sisi hatuwezi kuweka jamii inayojali kama hivi?
 
Jana nilipita Baa Moja hivi usiku mkali kula, nikakuta ndio Bar inakaribia kufungwa. Ghafla nikasikia malumbano kati ya Meneja wa Baa na kabinti kamoja hivi (waitress). Kumcheki yule waitress sikuamini. Mrefu, ana rangi ya udhurungi, shape ya kwenda, pua ya kisomali halafu nywele mpaka mgongoni! Baada ya malumbano yule binti mhudumu akawa analia.

Malezi niliyopewa na wazazi wangu ni kusababisha tabasamu kwa wengine, ingawa sababu ya ziada ni uzuri wake pia, nikamuita yule waitress, nikamuuliza kulikoni mbona malumbano? Akaniambia, "kaka angu, tangu nianze kazi hapa nina siku ya 9, kila mhudumu wa kike ananichukia wanadhani nitawachukulia mabwana zao, kumbe mimi natafuta maisha".

Nikapatwa na simanzi sana. Nikamwambia basi usilie, agiza kinywaji. Akasema na kazi anaacha. Eeh! Nikashtuka, akamuuliza kaunta anamdai sh ngapi ya vinjwaji, akamlipa hela yote, akaniambia kaka angu kama unataka kuninunulia bia twende ukaninunulie kwengine ila silali na wewe, nikamwambia poa. Kumbe ananipeleka sehemu ambayo atakutana na mwenyeji wake.

Tukahama joint, tukafika kwenye night club Moja hivi, akawa anakunywa bia kwa hasira kama mtu mwenye msongo hadi nikawa namzuia, wakati tuko pale akaja dada mmoja ambaye nilimuacha primary madarasa mawili, anamuita yule waitress dada, nikamuuliza vipi mnafahamiana? Akasema huyu ni mtoto wa marehemu mama mkubwa na mimi ndio nimempokea hapa mjini anaishi kwangu, ana matatizo makubwa, na yeye ndio kanitumia msg yuko hapa ndio nimekuja, yule waitress akafurahi kuona nafahamiana na ndugu yake.

Tamaa zikanijaa, nikamuomba sana niondoke naye kwasababu mimi sio stranger kwake tena kwasababu nafahamiana na ndugu yake, akaanza kumuuliza ndugu yake mara mbilimbili kwamba unamuamini huyu kaka? Ndugu yake akamjibu ndio, namfahamu sana tangu tukiwa Primary. Ikabidi ndugu yake aniapize kwamba sitafanya ufirauni [emoji2]

Tukaondoka, nikam-drop mdg mtu kwake, nikasepa na manzi. Tumefika kwangu aisee story aliyonipa inahuzunisha sana. Aliolewa miaka 2 iliyopita na mwanaume ambaye alikuwa na familia mkoani. Yeye akiwa amaemaliza Shahada yake ya kwanza ya BAF (Bachelor of Accounts and Finance) na kazi nzuri, mwanaume akamshauri aache kazi, kwa mapenzi binti akaacha kazi. Mwaka mmoja baadaye mwanaume akaanza kumnyanyasa, na ndio akagundua kwamba mwamba alikuwa ana mke na watoto 4 mkoa X!!! Kumbe binti ni yatima na alizaliwa kwao peke yake. Anachoshukuru ni hakuzaa na yule mwanaume kwasababu mwanaume hakutaka kuzaa nae kwa wakati ule.

Nikamuuliza kwanini auze bar na taaluma yake? Akasema ilibidi akimbie ule mkoa alipoolewa aje mkoa huu kuficha aibu na kuwasahaulisha watu, na akaona hawezi kukaa tu kwa ndugu yake bila kujishughulisha na chochote wakati anatafuta ajira. Kikubwa zaidi kwenye ile bar aliyoacha kazi hakuna mtu aliyekuwa anajua binti ni msomi, alijishusha afanane nao, nikamuuliza kazi umeacha kweli? akanijibu nimeacha kaka.

Baada ya zile story usiku wa jana nikamwambia haya lala mama. Asubuhi wakati naamka nakuta kavaa pensi na t-shirt yangu vyombo vyote kaosha, nguo chafu kafua, kuna sufuria nilitakaga kuzitupa ila kaziosha zimekuwa nyeupe kama theluji. Nikamuomba anioshe vyeti soft copy, aisee ni kichwa hasa, O na A level ni vijiti tu, Sekondari zote kasoma za kike. Chuo GPA KUBWA!

Mchana nikampa maelekezo asipike nitamuagizia Chakula ikabidi sasa nimtafute yule ndugu yake akaanza ku-verify zile taarifa alizonieleza Binti. Wakuu Mimi sijaoa, il Kuna Binti ambaye nilikuwa namfikiria fikiria kumuoa ila hili ni jaribu kwakweli. Yani huu ni wakati mgumu sana napitia, sielewi kwakweli. Sijamfanya kitu tangu Jana. Sasa hivi ndio nimeingia kwangu na msosi wake namuangalia tu hapa namna alivyotulia kwenye kochi anatazama tamthilia.
Situation kama yako hii wakati nikiwa chuo nilikua naingia room alone nafumba macho halafu nasema hivi"Baba kama ndio huyu naomba iwe kama siyo muondoe kwenye maisha yangu na fikra zangu kabisa""

Aiseh nilipoteza visu vingi Kwa style hiyo,siku nilipokutana na huyu niliomba Ivo Ivo aiseh ikawa kinyume chake nikajue ni yeye Baba kamleta!!

Lakini Sasa naambiwa Kuna mwingine anakuja coz huyu nilipomfikisha panatosha anataka kujitawala !!na mimi napokea eeh Baba!!namtaka yuleee nadhani unajua!!
 
Back
Top Bottom