Kuna wadada wema tu ila wanauza Baa, shida hizi

Kuna wadada wema tu ila wanauza Baa, shida hizi

[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]kweli kabisa naomba kwaya wote hovyo kabisa.oa kabisa baada ya kuzalisha ndio umtafutie kazi au kumfungulia biashara.hakikisha umeenda kujitambulisha kwao na kwenu.tulioa mabarmed tunaenjoy sana kwanza mzuri pia anajua kila kitu
Asante kwa ushauri wenye ushuhuda mkuu.
 
Back
Top Bottom