Amicus Curiae
JF-Expert Member
- Sep 12, 2012
- 5,351
- 7,639
- Thread starter
- #221
Basi naomba unisamehe mkuu [emoji28], ila hadi leo yuko kwangu, yani kitakachotokea sijui tu.Yaan mtu umemjua hata week haijaisha ushaanza kuwaza uwazayo? Badae uje kusema wanawake wabaya kumbe huwa mnakurupuka wenyewe.