Amicus Curiae
JF-Expert Member
- Sep 12, 2012
- 5,351
- 7,639
- Thread starter
- #241
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bar maid aliyetulia basi ana mabwana 8!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bar maid aliyetulia basi ana mabwana 8!
Thank you mkuu. Kwa hali aliyokuwa nayo day one, na u-gentleman wangu, nikaona ningemgusa ningezingua.Umenifurahisha kutomgusa.
Umefanya poa sana. Acha akupe akiwa hana msongo wa mawazo muenjoy wote.
Nashukuru, kumbe na wewe umeliona hilo.Ni kweli mabaamedi wengi sio sample ya kuweka ndani, lakini hii sentensi yako ya mwisho umekosea
Asilani abadani, mimi mwenyewe mtoto wa mjini vilevile.Unawindwa na ushaingia kwenye mtego
Why?Usimuonee huruma mwanamke
Yule mwanamke wako uliedai unataka kumuoa umeamuaje?Basi naomba unisamehe mkuu [emoji28], ila hadi leo yuko kwangu, yani kitakachotokea sijui tu.
Asante kwa ushauri mkuu.Usimtamkie masuala ya kumuoa mpige rehasal za kutosha kuona kama anafaa!! Ukimtamkia tu mwanzoni ataficha makucha!!! Later on ukaletewa drama za kutosha!!! Nenda naye mdogo mdogo! Mzigo unaweza kuendelea kupakua!!
Endeleeni kujidanganya...Ni kweli, bar anayofanyia kazi ni platform ya kujitangaza tu lakini side hustles za umalaya ndio zinamfanya aweze kuishi, unakuta analipwa 70k kwa mwezi lakini kapanga geto, anapendeza, anakula, ana iphone jiulize anagawa vipi kipato chake.
[emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu piga nyeto kwanza
Endeleeni kujidanganya.Kila field huwa akili za wahusika zinafanana hata ukiingia na tabia zako tofauti wakongwe watakuonesha mambo yanavyoenda nawe utafanana na uliowakuta. Wanacholipwa mabaamedi ni kidogo sana... kinachowawezesha kuishi ni umalaya, kuachiwa chenchi na kubambikia bill wateja.
Nitaufanyia kazi ushauri wako mkuu.Oa tu, kwani kuna shida gani?
HahaaNipo bar hapa nawaangalia mashemeji zako.
Ila jifunze umalaya kabla hujaoa Malaya.
Asante kwa ushauri mkuu, nitakuwa muangalifu sana.Mkuu, kama tyr kaingia kwenye mfumo ishi nae tu. Af ukizingatia kaletwa na mungu kabisa na ndugu yake kakuachia,. Bahati hazijirudii ila kumbuka unaweza kuwa umechezewa mchezo, hilo nalo lipo
Hata mimi nimemshangaa sana.Hakuna justification ya kufanya umalaya acha maneno yako hayo
Ubarikiwe sana mkuu.huwa nawachukulia hivyo na wale wa salon za kiume. najua tu amevaa vibaya hapendi ila maisha yamemfikisha hapo. sijawahi kuacha kuwapatia walau alfu 5 ya soda wakimaliza kazi. zamani nilidhani ni ndogo nikaja gundua wakiniona wanagombania kabisa, wanajua tayari lunch siku hiyo wamepata. huwa naandaa kabisa bajeti nikitaka kwenda kunyoa. nafanya hivyo kwa upendo tu na mahubiri wanapata vilevile.
[emoji28][emoji28][emoji28]Hebu weka picha ya wa bar na yule unamfikiriafikiria tukupe ushauri
Asante sana kwa ushuhuda huu mkuu.SI KILA MHUDUMU WA BAR NI MALAYA,, Kuna Bar flani kipindi npo Dom ilikua na mhudumu mzuri tu hv alikua mchangamfu sana alikua kila akiniona ananchangamkia sasa siku moja sikutaka mchezo nilimpangilia vzuri tu na nkamuahidi dau zuri tu lakn alikataa katukatu kwakua ndo walikua wanakalibia kufunga siku hyo akaniahidi nitafute siku nzuri na sehemu nyngne tupige story na anipe background ya maisha yake Aloooohh Trust me si kila mhudumu ni Malaya ni Shida tu ndo zinazowakabili na ni wachache sana wanaoshindwa kutoka kwny huo mtego..
Sio kweli, thibitisha.Hapo ulikuwa unalengeshwa kwenye mfumo!hizo ni mbinu tu wanatumia kupata madanga ya kudumu!
Asante kwa ushauri mkuu.Brother take time kumstudy zaidi lakini pia katika kufanya maamuzi baadaye sikiliza dhamira yako inasemaje!
Asante kwa ushauri mkuu.Tukushauri nini sasa?mzigo uko nao hapo.
Sisi tupe mrejesho tu ikawaje.
Kaa nae kwa akili