Kuna wafanyabiashara sio wakarimu kabisa kwa wateja, wanazidiwa na boda boda!

Kuna wafanyabiashara sio wakarimu kabisa kwa wateja, wanazidiwa na boda boda!

Ben-adam

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2023
Posts
1,043
Reaction score
2,309
Hii tabia nimeiona kwa watu tofauti tofauti, sijuwi wanafanyaje ili biashara zao ziendelee kuwa hai maana si kwa dharau hizi kwa wateja!!

Ni wale ambao ukifika dukani kwake hana hata muda wa kukutazama kiasi kwamba mpaka wewe ndio uanze kumuongelesha! Jamaa hacheki, amekunja ndita!

Kuna wafanya biashara kwakweli ukifika dukani/kazini kwao wanakuchangamkia mpaka unaona raha! Yani unaenda kuulizia bei tu, atakushawishi mpaka ununue!! wakarimu, wacheshi, wachangamfu safi sana! [emoji4][emoji4]

ona huyu sasa: napita mtaa flani hapo nakaona nichukue maji kwenye duka moja hivi, kwakuwa kapikipiki kangu ni kabovu bovu, nikabaki nimekashikilia ili kasizime!
nikamwambia jamaa niletee maji ya buku, jamaa akanitizama kwa dharau, akaweka headphone masikioni, akaketi kwenye kiti!
Watu wa aina hii naona wamekurupuka tu biashara sio fani zao.

TUJIFUNZE KUWA WAKARIMU KWA WATEJA WETU JAMANI
 
ona huyu sasa: napita mtaa flani hapo nakaona nichukue maji kwenye duka moja hivi, kwakuwa kapikipiki kangu ni kabovu bovu, nikabaki nimekashikilia ili kasizime!
nikamwambia jamaa niletee maji ya buku, jamaa akanitizama kwa dharau, akaweka headphone masikioni, akaketi kwenye kiti!
Watu wa aina hii naona wamekurupuka tu biashara sio fani zao.

TUJIFUNZE KUWA WAKARIMU KWA WATEJA WETU JAMANI
Nina yakini 99% huyo sio mwenye biashara ni muajiriwa tu.

Wengi unawaona wana nyodo kwenye biashara ujue ni waajiriwa na si wamiliki. Mwisho wa siku hawana cha kupoteza.
 
Hii tabia nimeiona kwa watu tofauti tofauti, sijuwi wanafanyaje ili biashara zao ziendelee kuwa hai maana si kwa dharau hizi kwa wateja!!

Ni wale ambao ukifika dukani kwake hana hata muda wa kukutazama kiasi kwamba mpaka wewe ndio uanze kumuongelesha! Jamaa hacheki, amekunja ndita!

Kuna wafanya biashara kwakweli ukifika dukani/kazini kwao wanakuchangamkia mpaka unaona raha! Yani unaenda kuulizia bei tu, atakushawishi mpaka ununue!! wakarimu, wacheshi, wachangamfu safi sana! [emoji4][emoji4]

ona huyu sasa: napita mtaa flani hapo nakaona nichukue maji kwenye duka moja hivi, kwakuwa kapikipiki kangu ni kabovu bovu, nikabaki nimekashikilia ili kasizime!
nikamwambia jamaa niletee maji ya buku, jamaa akanitizama kwa dharau, akaweka headphone masikioni, akaketi kwenye kiti!
Watu wa aina hii naona wamekurupuka tu biashara sio fani zao.

TUJIFUNZE KUWA WAKARIMU KWA WATEJA WETU JAMANI
Ulisalimia au wew jamaa jeuri!?
 
Nina yakini 99% huyo sio mwenye biashara ni muajiriwa tu.

Wengi unawaona wana nyodo kwenye biashara ujue ni waajiriwa na si wamiliki. Mwisho wa siku hawana cha kupoteza.
sikupingi boss
 
Nina yakini 99% huyo sio mwenye biashara ni muajiriwa tu.

Wengi unawaona wana nyodo kwenye biashara ujue ni waajiriwa na si wamiliki. Mwisho wa siku hawana cha kupoteza.
nashauri muwe/tuwe makini ktk kuchagua watu wa kuwaweka katka biashara, limtu la hovyo linajulikana tu hapa pale unapokuwa nalo
 
Huwa nikikutana na wa hivi, sirudi tena..
Haiwezekani nimpelekee hela yangu ambayo nimeisotea kwa jasho, damu na machozi mtu mwenye dharau,
Never
mmoja nilishampa makavu akabaki oh sijakuita uje kwangu.. blah bl
 
Back
Top Bottom