Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna wahubiri siku hizi wanauza maji, chumvi ama mafuta ili kutatua shida za watu (sina uhakika kama vinatatua).
Bei zao ni kubwa sana na wanaingiza pesa ya kutosha. Swali, Je, kuna haja walipe kodi ya mapato kwa mauzo hayo?
Ila ile ni biashara mkuu why wasilipie kodi?Wakilipa kodi kura za kina Tlaatlaah na Lucas Mwashambwa zitatoka wapi?
Nukuu...JMK ....twajuwa dini ni biashara, fuateni sheria za nchi.....Kuna wahubiri siku hizi wanauza maji, chumvi ama mafuta ili kutatua shida za watu (sina uhakika kama vinatatua).
Bei zao ni kubwa sana na wanaingiza pesa ya kutosha. Swali, Je, kuna haja walipe kodi ya mapato kwa mauzo hayo?
hapo alipiga pesa za kutosha unauziwa udongo wakati nyumbani kwako kuna udongo? kwa nini asiwaambie kila mmoja aje na udongo wake auombeeKijiko cha udongo buku.. Na kuna mtu ananunua hadi vijiko 20.. Nilishuhudia pale Kawe kwa Mwamposa mende la cbm 16 linamwaga kifusi cha udongo.. Sijui siku ile mwamposa aliingiza milion mia ngapi
Ila ile ni biashara mkuu why wasilipie kodi?
Umesahau na keki za upakoUkiweza kuteka akili za watu kupitia Dini unafanikiwa, wazo zuri kuwauzia watu udongo, Maji, Mafuta, Chumvi, Sukari, kupitia Dini.
Utajiri unaupata.
wajinga ndio waliwao,Wakilipa kodi kura za kina Tlaatlaah na Lucas Mwashambwa zitatoka wapi?
mimi nimeshawahi kwenda kwa Mwamposa sio mara moja wala mara mbili, udongo pale hauuzwi, kinauzwa mafuta na maji tu. na huwa anasema ukikutana na mtu akakuuzia udongo toa taarifa, pale yanuzwa mafuta na maji na ni shiling elfu moja tu kwa pc. myonge mnyongeni haki yake mpatie. ndio ni mfanya biashara ila hauzi udongo ni bure.hapo alipiga pesa za kutosha unauziwa udongo wakati nyumbani kwako kuna udongo? kwa nini asiwaambie kila mmoja aje na udongo wake auombee
Udongo unauzwa ktk mikutano yake. labda tuseme kuna mataPeli wameingilia biashara ya tapeli mwenzaomimi nimeshawahi kwenda kwa Mwamposa sio mara moja wala mara mbili, udongo pale hauuzwi, kinauzwa mafuta na maji tu. na huwa anasema ukikutana na mtu akakuuzia udongo toa taarifa, pale yanuzwa mafuta na maji na ni shiling elfu moja tu kwa pc. myonge mnyongeni haki yake mpatie. ndio ni mfanya biashara ila hauzi udongo ni bure.
nina uhakika asilimia mia hauzi udongo labda kuna watu wanajipenyeza ila yeye hauzi.Udongo unauzwa ktk mikutano yake. labda tuseme kuna mataPeli wameingilia biashara ya tapeli mwenzao
wajinga ndio waliwao,
yaani uache maji halisi nyumbani kwako ambayo ndio umekunywa, ndiyo umeyaogea, umepikia chakula, umeyaoshea vyombo, umeyafulia nguo zako, halafu eti ujitie kimbelembele eti yale maji unayoyafuata huko kwenye kichupa sijui kwa akina nani ili upate muujiza...
hiyo ni completely useless and nonsense, ni kujidharau kwa kiwango kibaya mno katika upeo wa mwanadamu. Hiyo inamaanisha maji uliyoyatumia nyumbani tangu unazaliwa ni mapepo.
kutoza kodi kwenye eneo hilo ni kuchochea jambo hilo la wizi wa mchana kweupe.
Umoja wa makanisa ya kilokole waketi chini mara moja na kukemeana kuhusu ulaghai huo wa aibu sana 🐒