Ileje
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 9,524
- 13,682
Jana katika kumchagua mwenyekiti wa kudumu wa bunge la katiba kura 7 ziliharibika! Leo pia zimeharibika kura 7 katika zoezi la kumchagua makamu mwenyekiti!
Inaelekea ni wale wale walioharibu kura jana wameharibu tena leo!
Wajumbe jichunguzeni vinginevyo hao 7 watalidhililisha bunge hilo"
Inaelekea ni wale wale walioharibu kura jana wameharibu tena leo!
Wajumbe jichunguzeni vinginevyo hao 7 watalidhililisha bunge hilo"