Mycojkhan
JF-Expert Member
- Jul 12, 2024
- 803
- 1,498
Au sali sala ya toba ujiue iliukwepe MatesoSala haileti maokoto lakini....labda kwa manabii.
Nasali ila nahitaji kupambana zaidiii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au sali sala ya toba ujiue iliukwepe MatesoSala haileti maokoto lakini....labda kwa manabii.
Nasali ila nahitaji kupambana zaidiii
Dah😅😅Au sali sala ya toba ujiue iliukwepe Mateso
Jiue wewe nije kula ubwabwa wa msiba wako, na ulivo mtamu sasa.....nakuja na pilipili kabisaAu sali sala ya toba ujiue iliukwepe Mateso
Ila inaleta amani ya moyo.....Sala haileti maokoto lakini....labda kwa manabii.
Nasali ila nahitaji kupambana zaidiii
Pesa yenyewe ya kuweka akiba ipo wapi ukipata kidgo kila mtu anaitaka iyo iyo jamn eee pesa ngumuUnaweka Akiba??
Umeandika kwa hisia sanaPesa yenyewe ya kuweka akiba ipo wapi ukipata kidgo kila mtu anaitaka iyo iyo jamn eee pesa ngumu
Unaweza ukafa kiroho Mkuu na bado ukaishiJiue wewe nije kula ubwabwa wa msiba wako, na ulivo mtamu sasa.....nakuja na pilipili kabisa
Hakika anahitaji Msaada wa kifedhaUmeandika kwa hisia sana
We acha tu somehow inaumiza unataft pesa ukipata kidgo majanga hayoUmeandika kwa hisia sana
Mkuu usiwaze hivyo unakosea sana, jitahidi uwaze vyema na jifunze kuwaza fresh bila kujalisha hali.Yani kama mie sahivi walah yamenisimamia na ukucha, ilimradi tu niteseke 😔
Nasali, amani ya moyo huwa naipata kwa kusoma vitabu......nikisoma vitabu akili na mawazo yangu hubadikika kabisaIla inaleta amani ya moyo.....
Na ukiwa na amani hutaelemewa kifkra...Bali ndo utakuwa mwanzo wa kukabiliana na kile kinachokutatiza
Usiache kusali....
Inshallah 😊Hakika anahitaji Msaada wa kifedha
Kama ukipata Mkumbuke Mkuu
Kher njia ulio chaguaNasali, amani ya moyo huwa naipata kwa kusoma vitabu......nikisoma vitabu akili na mawazo yangu hubadikika kabisa
Mie mzima wa afya tele, na nitaendelea kua mzima kabisa bro.....Unaweza ukafa kiroho Mkuu na bado ukaishi
I like it😍Mie mzima wa afya tele, na nitaendelea kua mzima kabisa bro.....
Dahh...maisha ya Sasa hivi Bora mdomo uende kinywani mtu wangu....🤗We acha tu somehow inaumiza unataft pesa ukipata kidgo majanga hayo
Ndio ivyo tuna angaikia tumbo ambalo alisem inatoshaDahh...maisha ya Sasa hivi Bora mdomo uende kinywani mtu wangu....🤗