Ni kweli,that is the way of life,money makes the world go round.....Yani ukichunguza kwa makini kuna wakati unaona kabisa pesa mfukoni haitulii na hata kuingia kwake ni taratibu Sana huku miaka Inaenda tu.
Niko na 36 sasa hivi ila hii coment yako nimeirudia mara 3 na nimetetemeka na kuogopa sanaUkifika 50 utaona yote ni batili,kuanzia utafutaji pesa,kukuza career na hata familia.
Maisha ni usenge sana.
Sijui hata tufanyaje, ukiweka lazima lije dude lichukue akiba, ni heri kuwekeza tu kuliko kuiweka pesa inakutizama huko benki.Yaani acha kabisa mwezi ulio ishia nilianza kuweka akiba mamb yakawa yanaenda vzr ilikuwa kila siku naweka gafla mamb yaka badirika pesa ikateketea yote
Umenena vyema.Bora uzima na afya
Na ambao Afya ni tatizo wamtukane Mungu ?Afya Kama IPO mshukuru MUNGU
Hiyo ndio maana ya maisha. Hauwezi kuwa na raha siku zote bila nyakati za shidaYani ukichunguza kwa makini kuna wakati unaona kabisa pesa mfukoni haitulii na hata kuingia kwake ni taratibu Sana huku miaka Inaenda tu.