kula kwa tindo
JF-Expert Member
- Nov 14, 2011
- 1,330
- 324
Sio vibaya ukiweka neno hapa..
Imgekua Binti yako ungefanyaje?
Imgekua Binti yako ungefanyaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee nilifikiri amembeba mdogo wake, kwa kweli imenisikitisha sana
Mkuu acha tu. yaani nina Binti yangu kana 10 yrs now.. Nikikaaangalia haka duh.. Naumia sana.. Cjui huyo Dume nyege pori yuko tinamu!!!!?
duh kweli kuna watu wana mapepo ya ngono kha, mambo haya yanakera kweli na yanatuharibia vibint vyetu haswa, mie hapa jiran kuna kabint ndio kamefikisha miaka 17 saa hz kamezalishwa na mdingi mkubwa zaid ya baba ake, na jitu lenyewe lina family yake na watoto kama huyo bint, nahc jamii nayo inahusika kufanya mijitu hii iharib viroto hv coz kama huyu wa hapa kwetu hana hata aibu mchana kweupee anakuja hapa, hl ni tatzo kwa kweli.............