#COVID19 Kuna wakati nawaza huenda Corona inauwa zaidi wanaume kuliko wanawake (ipo haja kuchunguza ni kwanini)

#COVID19 Kuna wakati nawaza huenda Corona inauwa zaidi wanaume kuliko wanawake (ipo haja kuchunguza ni kwanini)

Mimi nilichosikia ni kwamba hii corona ni kwaajili yakupunguza population na walitageti wanaume zaidi yaani kama mwanaume atapata corona na akapona uwezo wake wakushiriki ngono unathirika na atashindwa kuzalisha bado nafatilia pia mbona watoto wanakuwa wabebaji wa virus na wao hawadhuriki ila hii iliyoaanzia Brazil hiyo imeanza kuuwa hadi watoto ......pia wengine wanasema it is all about nature ,always fighting but the strongest survive nikachukua points chache
 
Mimi nilichosikia ni kwamba hii corona ni kwaajili yakupunguza population na walitageti wanaume zaidi yaani kama mwanaume atapata corona...
Kuna nyingine tena kumbe?
 
Nimefuatlia sana ugonjwa wa korona tangu uingie!
Nilichogundua wazee wengi wa kiume ndo wanafariki zaidi ukiringanisha na wanawake!....
Umefuatilia sana ugonjwa wa Korona tangu uingie.
Ndugu, umetumia methods gani ktk ufuatiliaji wako?

Kwamba umegundua kuwa wazee wengi wa kiume ndio wanafariki zaidi ukilinganisha na wanawake.
Hapa siamini kama UMEGUNDUA!

Neno 'Ugunduzi' ni neno zito kidogo. Sema, inajulikana kuwa wazee wengi wa kiume wana higher COVID-19 mortality rates ukilinganisha na wanawake.

Mambo ya Umefuatilia sana na Umegundua achana nayo jambo la msingi ni kwamba omba wenye uelewa wakujuze kuhusu kwanini wazee wa kiume wako more prone to COVID-19.
 
KWA MAKISIO TU, MWANAUME MMOJA MWENYE KIPATO CHA UHAKIKA,ANA HUDUMIA WANAWAKE WATANO.
KINGA ZA MWILI LAZIMA ZIWE CHINI, UNYUMBA SIO KAZI NDOGO.
 
Labda inashambulia chromosome Y ambayo sie wanawake hatunayo. Maybe
 
Wanaume wenye umri mkubwa kwa sababu
Kinga za mwili zimechoka/Dhoofu/pungua sababu ya kilomita nyingi zilizotumika
Kwa sababu ya umri hivyo kutofanya mazoezi Mara kwa Mara
Kipato kizuri kinawafanya warelax zaidi bila kujishughulisha hivyo kuufanya mwili uwe dhaifu
 
His observation inahitaji utafiti zaidii; ni kweli wanaume wengi wanakufa kwa corona kuliko wanawake, lazima kutakuwa na sababu za kisayansi!
Moja ya sababu nadhani ni activeness Kama watu walivyorespond.Wanaume wengi wakitoka kazini anakuwa idle lakini mama anakuwa busy na shughuli za hapa na pale nyumbani.
Pili nadhani ni suala zima la kinga. Akina mama wengi hupata kinga pale wanapoenda clinic kinga hizi in long run zinawakinga na magonjwa mengi yanayojitokeza kuliko wanaume. Na hii si kwa korona tu.
Kuna mada nilisoma humu jukwaani inasema Kuna akina mama wengi wajane baada ya waume wao kufariki kuliko akina baba. Na huu ndo ukweli.Wanaume wanakufa haraka kuliko wanawake wa umri mmoja.
 
Nadhani wanawake wengi wapo active kwa kuwa wanafanya lots of domestic work nyumbani na hivyo wamedevelop kinga za kutosha mwilini.

Wanaume walio wengi cycle yao ni kwenda job asubuhi (kwenye kiyoyozi), ofisini full time jioni kwenye bia then home.

Sina data lakini ni wazi watu walio active (bodaboda boys, wamachinga, footballers etc) Covid19 haiwaui. Ndio maana hata akina Ronaldo, Aguero, Pogba etc etc walicontract ila wakarudi uwanjani baada ya siku 10 tu.
Kila mwanaume anafanya kazi kiyoyozini?
 
Mimi nilichosikia ni kwamba hii corona ni kwaajili yakupunguza population na walitageti wanaume zaidi yaani kama mwanaume atapata corona na akapona uwezo wake wakushiriki ngono unathirika na atashindwa kuzalisha bado nafatilia pia mbona watoto wanakuwa wabebaji wa virus na wao hawadhuriki ila hii iliyoaanzia Brazil hiyo imeanza kuuwa hadi watoto ......pia wengine wanasema it is all about nature ,always fighting but the strongest survive nikachukua points chache
 
Back
Top Bottom