Kuna wakati sisi wanawake tulipaswa kuishi maisha haya. Dunia ingekuwa sehemu salama kabisa

Kuna wakati sisi wanawake tulipaswa kuishi maisha haya. Dunia ingekuwa sehemu salama kabisa

Annie X6

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2023
Posts
704
Reaction score
1,331
Kwa namna mja au nyingine mwanamke bila mwanaume hakuna mtu au binadamu.

Mwanamke ananafasi kubwa kuifanya dunia iwe hapa ilipo leo.
Screenshot_20240726_092453_X.jpg


Hii picha haimaanishi jambo baya mimi kama mwanamke naona kabisa ningeishi kwa amani na mume wangu mmoja.

Hata huyu mwanaume angishi maisha marefu tu. One leo wanaume wanafariki mapema, wanatafuta pesa na kutoka nje ya ndoa na kuhonga na kuacha kufanya mambo ya maana.

Kuna usaliti,ubarhirifu unaotokana na ubinafsi. Laity kila mwanaume angekuwa na wanawake wake watatu au wanne akawa anawalimda na yeye analidwa basi tungeishi kwa amani na wanaume wetu
 
Kwa namna mja au nyingine mwanamke bila mwanaume hakuna mtu au binadamu.

Mwanamke ananafasi kubwa kuifanya dunia iwe hapa ilipo leo.
View attachment 3052534

Hii picha haimaanishi jambo baya mimi kama mwanamke naona kabisa ningeishi kwa amani na mume wangu mmoja.

Hata huyu mwanaume angishi maisha marefu tu. One leo wanaume wanafariki mapema, wanatafuta pesa na kutoka nje ya ndoa na kuhonga na kuacha kufanya mambo ya maana.

Kuna usaliti,ubarhirifu unaotokana na ubinafsi. Laity kila mwanaume angekuwa na wanawake wake watatu au wanne akawa anawalimda na yeye analidwa basi tungeishi kwa amani na wanaume wetu
😂Nakosa cha kutyp naandika nafuta naandika nafuta....

Ila ni umesema ukweli mtupu
 
Kwa namna mja au nyingine mwanamke bila mwanaume hakuna mtu au binadamu.

Mwanamke ananafasi kubwa kuifanya dunia iwe hapa ilipo leo.
View attachment 3052534

Hii picha haimaanishi jambo baya mimi kama mwanamke naona kabisa ningeishi kwa amani na mume wangu mmoja.

Hata huyu mwanaume angishi maisha marefu tu. One leo wanaume wanafariki mapema, wanatafuta pesa na kutoka nje ya ndoa na kuhonga na kuacha kufanya mambo ya maana.

Kuna usaliti,ubarhirifu unaotokana na ubinafsi. Laity kila mwanaume angekuwa na wanawake wake watatu au wanne akawa anawalimda na yeye analidwa basi tungeishi kwa amani na wanaume wetu
Upewe maua yako... Mimi nataka kuongeza.. Je mpo teyari Shadeeya 🐸
 
Kwa namna mja au nyingine mwanamke bila mwanaume hakuna mtu au binadamu.

Mwanamke ananafasi kubwa kuifanya dunia iwe hapa ilipo leo.
View attachment 3052534

Hii picha haimaanishi jambo baya mimi kama mwanamke naona kabisa ningeishi kwa amani na mume wangu mmoja.

Hata huyu mwanaume angishi maisha marefu tu. One leo wanaume wanafariki mapema, wanatafuta pesa na kutoka nje ya ndoa na kuhonga na kuacha kufanya mambo ya maana.

Kuna usaliti,ubarhirifu unaotokana na ubinafsi. Laity kila mwanaume angekuwa na wanawake wake watatu au wanne akawa anawalimda na yeye analidwa basi tungeishi kwa amani na wanaume wetu
Mwanaume mwenye wake 12 aliowachagua mwenyewe hana sababu ya kutoka nje kutafuta wakati kazi zinamsubiria nyumbani.
 
Back
Top Bottom