Kuna wakati wanawake mkipaka hizo make-up zenu mnakuwa kama majini

Kuna wakati wanawake mkipaka hizo make-up zenu mnakuwa kama majini

Expensive life

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2020
Posts
2,971
Reaction score
9,437
Unakuta binti mrembo kabisa kaajaliwa ngozi nzuri kabisa, sijui ni nini huwa kinawawasha mpaka wajione wao sio warembo hadi wapake haya mimi nayaitaga majivu.

Kuna siku nimemwambia wife jiandae nataka tutoke kidogo, masaa zaidi ya mawili anajipodoa tu mimekaa namsubiri siakatoka chumbani sasa aiseeh nilitamani kumpiga makofi.

Sasa mama hayo ni manini umenipakia? Kawa kama jini nsiyuka, ananiambia mwanamke bila make up hainogi nikamwambia kanitolee mauchafu yako hapa.

Hiyo picha hapo chini ni mwanamuzi wa bongofleva, babiemina siku ya kilele cha shindano la malkia wa nguvu.

DE19D3C0-2250-48B6-B7E6-F4F80E41598D.jpeg


323D9819-4A2B-4B06-B8F9-6F6B74CD412E.jpeg
 
Kuna mmoja mpaka alinichukia ni workmate sasa tukiwa job sijawai kumuona, Kama alivyo kuwa vile siku hiyo.
Tumeenda kwenye harusi ya jamaa usiku ukumbini..yaani makeup amepaka utafikir analia halafu wigi sasa kubwa kuliko hata ya the late Michael Jackson.
Sasa nime kutana nae mlangoni naona mtu ana nichekea nili mlia mikausho mikali nikasema bibi gani huyu ana nijulia wapi mimi duh nilikuja kumtambua baadae sana tena baada ya kunywa bia za kutosha.
 
Kuna mmoja mpaka alinichukia ni workmate sasa tukiwa job sijawai kumuona, Kama alivyo kuwa vile siku hiyo.
Tumeenda kwenye harusi ya jamaa usiku ukumbini..yaani makeup amepaka utafikir analia halafu wigi sasa kubwa kuliko hata ya the late Michael Jackson.
Sasa nime kutana nae mlangoni naona mtu ana nichekea nili mlia mikausho mikali nikasema bibi gani huyu ana nijulia wapi mimi duh nilikuja kumtambua baadae sana tena baada ya kunywa bia za kutosha.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]alikua na ugomvi na makeup artist wake sio kwa kumfanya kinyago cha mpapure.
 
Unakuta binti mrembo kabisa kaajaliwa ngozi nzuri kabisa, sijui ni nini huwa kinawawasha mpaka wajione wao sio warembo hadi wapake haya mimi nayaitaga majivu.

Kuna siku nimemwambia wife jiandae nataka tutoke kidogo, masaa zaidi ya mawili anajipodoa tu mimekaa namsubiri siakatoka chumbani sasa aiseeh nilitamani kumpiga makofi.

Sasa mama hayo ni manini umenipakia? Kawa kama jini nsiyuka, ananiambia mwanamke bila make up hainogi nikamwambia kanitolee mauchafu yako hapa.

Hiyo picha hapo chini ni mwanamuzi wa bongofleva, babiemina siku ya kilele cha shindano la malkia wa nguvu.

View attachment 2568319

View attachment 2568320
Mimi nawaza Alie chora hayo manyonyo🤗😋😋😊
 
Back
Top Bottom