Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mmoja mpaka alinichukia ni workmate sasa tukiwa job sijawai kumuona, Kama alivyo kuwa vile siku hiyo.
Tumeenda kwenye harusi ya jamaa usiku ukumbini..yaani makeup amepaka utafikir analia halafu wigi sasa kubwa kuliko hata ya the late Michael Jackson.
Sasa nime kutana nae mlangoni naona mtu ana nichekea nili mlia mikausho mikali nikasema bibi gani huyu ana nijulia wapi mimi duh nilikuja kumtambua baadae sana tena baada ya kunywa bia za kutosha.
izo make Up bei yake unaijua ?Ila watz wanapaka makeup nyingi mno mpaka kero sura zinabadilika wanatoka kwenye uhalisia
Angalia hawa kina bela makeup zao hadi rahaView attachment 2569752
View attachment 2569753
Ona ngozi zao kabisa zinaonekana
Wabongo wanakandikwa mno makeup nyingiii
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuna mmoja mpaka alinichukia ni workmate sasa tukiwa job sijawai kumuona, Kama alivyo kuwa vile siku hiyo.
Tumeenda kwenye harusi ya jamaa usiku ukumbini..yaani makeup amepaka utafikir analia halafu wigi sasa kubwa kuliko hata ya the late Michael Jackson.
Sasa nime kutana nae mlangoni naona mtu ana nichekea nili mlia mikausho mikali nikasema bibi gani huyu ana nijulia wapi mimi duh nilikuja kumtambua baadae sana tena baada ya kunywa bia za kutosha.
HahahahjaKuna mmoja mpaka alinichukia ni workmate sasa tukiwa job sijawai kumuona, Kama alivyo kuwa vile siku hiyo.
Tumeenda kwenye harusi ya jamaa usiku ukumbini..yaani makeup amepaka utafikir analia halafu wigi sasa kubwa kuliko hata ya the late Michael Jackson.
Sasa nime kutana nae mlangoni naona mtu ana nichekea nili mlia mikausho mikali nikasema bibi gani huyu ana nijulia wapi mimi duh nilikuja kumtambua baadae sana tena baada ya kunywa bia za kutosha.
Vitu ambavyo nawaza siku nkija kupaka hzo make up nitakuwaje maana sijawahi hata [emoji23]Huwa nabishana sana na dada zangu,huwa nawaambia kiukwel sijawah ona mwanamke yeyote kapendezwa na hayo ma make up
Wao mara nyingi hunibishia kwa kuniambia eti mara nyingi huwa naona walioweka make up za bei poa
Kuna mdogo wangu alipaka siku ya sendoff yake na huwa ni mzur kwel lakin alivyoweka hayo ma make up alibadilika sana ikaja sura nyingine kabisa,yaan nilkuwa namwangalia mpaka namshangaa na hayo ma kope yao ndo hovyo kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna mmoja mpaka alinichukia ni workmate sasa tukiwa job sijawai kumuona, Kama alivyo kuwa vile siku hiyo.
Tumeenda kwenye harusi ya jamaa usiku ukumbini..yaani makeup amepaka utafikir analia halafu wigi sasa kubwa kuliko hata ya the late Michael Jackson.
Sasa nime kutana nae mlangoni naona mtu ana nichekea nili mlia mikausho mikali nikasema bibi gani huyu ana nijulia wapi mimi duh nilikuja kumtambua baadae sana tena baada ya kunywa bia za kutosha.