Kuna wakati wanawake mkipaka hizo make-up zenu mnakuwa kama majini

Kuna wakati wanawake mkipaka hizo make-up zenu mnakuwa kama majini

makeup muhimu lakini ndo sio kila mahali lazima upake makeup,
 
Kuna mmoja mpaka alinichukia ni workmate sasa tukiwa job sijawai kumuona, Kama alivyo kuwa vile siku hiyo.
Tumeenda kwenye harusi ya jamaa usiku ukumbini..yaani makeup amepaka utafikir analia halafu wigi sasa kubwa kuliko hata ya the late Michael Jackson.
Sasa nime kutana nae mlangoni naona mtu ana nichekea nili mlia mikausho mikali nikasema bibi gani huyu ana nijulia wapi mimi duh nilikuja kumtambua baadae sana tena baada ya kunywa bia za kutosha.

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ila watz wanapaka makeup nyingi mno mpaka kero sura zinabadilika wanatoka kwenye uhalisia
Angalia hawa kina bela makeup zao hadi raha
IMG_8432.jpg

IMG_8431.jpg

Ona ngozi zao kabisa zinaonekana
Wabongo wanakandikwa mno makeup nyingiii
 
Kuna mmoja mpaka alinichukia ni workmate sasa tukiwa job sijawai kumuona, Kama alivyo kuwa vile siku hiyo.
Tumeenda kwenye harusi ya jamaa usiku ukumbini..yaani makeup amepaka utafikir analia halafu wigi sasa kubwa kuliko hata ya the late Michael Jackson.
Sasa nime kutana nae mlangoni naona mtu ana nichekea nili mlia mikausho mikali nikasema bibi gani huyu ana nijulia wapi mimi duh nilikuja kumtambua baadae sana tena baada ya kunywa bia za kutosha.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Huwa nabishana sana na dada zangu,huwa nawaambia kiukwel sijawah ona mwanamke yeyote kapendezwa na hayo ma make up

Wao mara nyingi hunibishia kwa kuniambia eti mara nyingi huwa naona walioweka make up za bei poa

Kuna mdogo wangu alipaka siku ya sendoff yake na huwa ni mzur kwel lakin alivyoweka hayo ma make up alibadilika sana ikaja sura nyingine kabisa,yaan nilkuwa namwangalia mpaka namshangaa na hayo ma kope yao ndo hovyo kabisa
 
Kuna mmoja mpaka alinichukia ni workmate sasa tukiwa job sijawai kumuona, Kama alivyo kuwa vile siku hiyo.
Tumeenda kwenye harusi ya jamaa usiku ukumbini..yaani makeup amepaka utafikir analia halafu wigi sasa kubwa kuliko hata ya the late Michael Jackson.
Sasa nime kutana nae mlangoni naona mtu ana nichekea nili mlia mikausho mikali nikasema bibi gani huyu ana nijulia wapi mimi duh nilikuja kumtambua baadae sana tena baada ya kunywa bia za kutosha.
Hahahahja
 
Huwa nabishana sana na dada zangu,huwa nawaambia kiukwel sijawah ona mwanamke yeyote kapendezwa na hayo ma make up

Wao mara nyingi hunibishia kwa kuniambia eti mara nyingi huwa naona walioweka make up za bei poa

Kuna mdogo wangu alipaka siku ya sendoff yake na huwa ni mzur kwel lakin alivyoweka hayo ma make up alibadilika sana ikaja sura nyingine kabisa,yaan nilkuwa namwangalia mpaka namshangaa na hayo ma kope yao ndo hovyo kabisa
Vitu ambavyo nawaza siku nkija kupaka hzo make up nitakuwaje maana sijawahi hata [emoji23]
 
Ilo la makeup ni moja, mimi hayo makucha ndio siyapendi kama nini, yaani nikiona mdada ameyaweka ananichafua sana
 
Kuna mmoja mpaka alinichukia ni workmate sasa tukiwa job sijawai kumuona, Kama alivyo kuwa vile siku hiyo.
Tumeenda kwenye harusi ya jamaa usiku ukumbini..yaani makeup amepaka utafikir analia halafu wigi sasa kubwa kuliko hata ya the late Michael Jackson.
Sasa nime kutana nae mlangoni naona mtu ana nichekea nili mlia mikausho mikali nikasema bibi gani huyu ana nijulia wapi mimi duh nilikuja kumtambua baadae sana tena baada ya kunywa bia za kutosha.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom