Kuna Wakili Mmoja Nguli kaniambia huyu Muuaji Kato Rasta aliyemuua Afisa JWTZ akijitetea hivi wala hatofungwa na ataachiwa Huru upesi

Kuna Wakili Mmoja Nguli kaniambia huyu Muuaji Kato Rasta aliyemuua Afisa JWTZ akijitetea hivi wala hatofungwa na ataachiwa Huru upesi

"Kama unajuana na huyo Kijana Kato Rasta au Rasta Mayele aliyemchoma Kisu Afisa wa JWTZ Kanali Deogratius Muna mwambie akienda Mahakamani ajitetee kuwa baada ya Kupigwa Vibao na Afande huyo huku akitukanwa nae alimuona Afande Muna anajishika Kiunoni akiashiria kutaka kutoa Pistol hivyo kwa kumjua kuwa alikuwa ni Mwanajeshi na Yeye Kato Rasta akaamua Kujilinda na kupelekea Umauti wako.

Kato Rasta aseme kuwa ulikuwa ni Ugomvi hivyo kila Mtu akaamua Kujitetea. Au Waambie Ndugu zake wanitafute na Nitamtetea na wala Hatofungwa. Kesi imekaa vizuri sana Kwake Kato Rasta kushinda ila Ajiamini na Asiogope kwani ni Kesi nyepesi sema tu inaonekana ni Kubwa na inatisha kwakuwa inamhusisha huyo Afisa wa JWTZ na huenda JWTZ nao wakaipambania japo kwa mazingira nao JWTZ haiwahusu sana kwakuwa Aliyekufa hakuwa Kazini kwa wakati huo na hakuvaa Sare zao hivyo ni Tukio la Uraiani ( Nje )" amesema Wakili Nguli ambaye GENTAMYCINE namhifadhi kwa sasa.

Haya Ndugu zake na Dogo Kato Rasta / Rasta Mayele mmeshapewa tayari Maujanja hivyo yawasilisheni Kwake ili awe Huru.

Je, huyu Wakili Nguli yuko sahihi au?
Nilichoelewa. Ni kwamba kila mtu ana haki ya kujilinda anapoona hatari. Sio polisj na wanajeshi ndio wajilinde wao wanapoona wapo hatarini.
Genta wakati mwingine una akili kama german shephard wangu.

Kula gwala.
 
"Kama unajuana na huyo Kijana Kato Rasta au Rasta Mayele aliyemchoma Kisu Afisa wa JWTZ Kanali Deogratius Muna mwambie akienda Mahakamani ajitetee kuwa baada ya Kupigwa Vibao na Afande huyo huku akitukanwa nae alimuona Afande Muna anajishika Kiunoni akiashiria kutaka kutoa Pistol hivyo kwa kumjua kuwa alikuwa ni Mwanajeshi na Yeye Kato Rasta akaamua Kujilinda na kupelekea Umauti wako.

Kato Rasta aseme kuwa ulikuwa ni Ugomvi hivyo kila Mtu akaamua Kujitetea. Au Waambie Ndugu zake wanitafute na Nitamtetea na wala Hatofungwa. Kesi imekaa vizuri sana Kwake Kato Rasta kushinda ila Ajiamini na Asiogope kwani ni Kesi nyepesi sema tu inaonekana ni Kubwa na inatisha kwakuwa inamhusisha huyo Afisa wa JWTZ na huenda JWTZ nao wakaipambania japo kwa mazingira nao JWTZ haiwahusu sana kwakuwa Aliyekufa hakuwa Kazini kwa wakati huo na hakuvaa Sare zao hivyo ni Tukio la Uraiani ( Nje )" amesema Wakili Nguli ambaye GENTAMYCINE namhifadhi kwa sasa.

Haya Ndugu zake na Dogo Kato Rasta / Rasta Mayele mmeshapewa tayari Maujanja hivyo yawasilisheni Kwake ili awe Huru.

Je, huyu Wakili Nguli yuko sahihi au?
Mkuu inategemea kama haya maelezo alishatoa polisi kama Folio D1

Short of that itakuwa ni afterthought.....

Which can never be tenable in evidence


Lkn mwisho wa siku test itakuwa ni kwamba aliua kwa kukusudia au aliua bila kukusudia.

Hapa ndio mawakili watapimana ubavu.

Labda baada ya muuji kusota sana rumande kwenye pre trial conference in chamber

Mtuhumiwa akakubali lesser offense manslaughter badala ya murder akapewa kesi ya kuuwa bila kukusudia Haya mambo tumeyafanya kitambo na sisi ni Manguli
 
"Kama unajuana na huyo Kijana Kato Rasta au Rasta Mayele aliyemchoma Kisu Afisa wa JWTZ Kanali Deogratius Muna mwambie akienda Mahakamani ajitetee kuwa baada ya Kupigwa Vibao na Afande huyo huku akitukanwa nae alimuona Afande Muna anajishika Kiunoni akiashiria kutaka kutoa Pistol hivyo kwa kumjua kuwa alikuwa ni Mwanajeshi na Yeye Kato Rasta akaamua Kujilinda na kupelekea Umauti wako.

Kato Rasta aseme kuwa ulikuwa ni Ugomvi hivyo kila Mtu akaamua Kujitetea. Au Waambie Ndugu zake wanitafute na Nitamtetea na wala Hatofungwa. Kesi imekaa vizuri sana Kwake Kato Rasta kushinda ila Ajiamini na Asiogope kwani ni Kesi nyepesi sema tu inaonekana ni Kubwa na inatisha kwakuwa inamhusisha huyo Afisa wa JWTZ na huenda JWTZ nao wakaipambania japo kwa mazingira nao JWTZ haiwahusu sana kwakuwa Aliyekufa hakuwa Kazini kwa wakati huo na hakuvaa Sare zao hivyo ni Tukio la Uraiani ( Nje )" amesema Wakili Nguli ambaye GENTAMYCINE namhifadhi kwa sasa.

Haya Ndugu zake na Dogo Kato Rasta / Rasta Mayele mmeshapewa tayari Maujanja hivyo yawasilisheni Kwake ili awe Huru.

Je, huyu Wakili Nguli yuko sahihi au?
Sasa hayo ni maujanja gani wakati huo ndiyo ukweli wa tukio.lenyewe lilivyotokea!!??
 
Huyo mjeshi kajitafutia kifo tu

Na huyo kato naye kajitafutia makazi ya kukaa kwenye majengo ya serikali
Akizubaa ataishi huko mpaka kufa kwake
Acheze na wanasheria tu,uzuri huko magerezani kuna watu wanajuwa sheria ,lazima watamoanga namna ya kupangua kesi yake

Ova
 
Back
Top Bottom