Kuna walioanza mwaka 2025 kwa kupata magonjwa baada ya kufanya mapenzi kizembe

Kuna walioanza mwaka 2025 kwa kupata magonjwa baada ya kufanya mapenzi kizembe

Mr-Njombe

Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
64
Reaction score
122
Poleni sana,

ni muhimu kujifunza kujali afya kwanza kabala ya starehe.

Tazama sasa maumivu unayopitia, gharama na muda unaotumia kujitibu kwasababu tu ya starehe ya muda mfupi.

Jifunze kutumia kinga na kuepuka kufanya ngono zembe kiholela.

Baki njia kuu. Kunywa pombe kupita kiasi ni hatatari kwa afya na uhai wako, kunywa kistaarabu.
 
Poleni sana,

ni muhimu kujifunza kujali afya kwanza kabala ya starehe.

Tazama sasa maumivu unayopitia, gharama na muda unaotumia kujitibu kwasababu tu ya starehe ya muda mfupi.

Jifunze kutumia kinga na kuepuka kufanya ngono zembe kiholela.

Baki njia kuu. Kunywa pombe kupita kiasi ni hatatari kwa afya na uhai wako, kunywa kistaarabu.
Liverpool wamenichania mkeka jana
 
Enzi za ujana wetu ukiwa hujawahi kuugua gono unaonekana Bado mdogo na mshamba
Kipindi hicho kila mtu alikuwa anajua dawa ilikuwa ukienda kumuuliza baba au babu anakuelekeza dawa ya mitishamba ya kutumia sasa ugua leo ukakutane na Dr uone hiyo bei ya dawa.

Na uchumi wenyewe huu wa kutegemea kubet vijana wataoza sehemu za siri.
 
Kipindi hicho kila mtu alikuwa anajua dawa ilikuwa ukienda kumuuliza baba au babu anakuelekeza dawa ya mitishamba ya kutumia sasa ugua leo ukakutane na Dr uone hiyo bei ya dawa.

Na uchumi wenyewe huu wa kutegemea kubet vijana wataoza sehemu za siri.
uwekezaji na uchumi wote unahamia sehemu za siri dah!🐒
 
Tupige nyeto tu wazee.. nyeto hupati gono,kaswende, uti sugu wala ukimwi

Nyeto haupotezi hata Mia yako ni wewe tu

Nyeto haina wivu hata uchiti vipi

Nyeto inaleta usingizi mzuri imara na murua

Nyeto inakupa uhakika wa show anytime anywhere

Nyeto inakupa uhuru wa kutafuta pesa haina text wala no missed calls

KULENI NYETO KWA MUSTAKABAL WA AFYA ZENU NA UCHUMI
 
Poleni sana,

ni muhimu kujifunza kujali afya kwanza kabala ya starehe.

Tazama sasa maumivu unayopitia, gharama na muda unaotumia kujitibu kwasababu tu ya starehe ya muda mfupi.

Jifunze kutumia kinga na kuepuka kufanya ngono zembe kiholela.

Baki njia kuu. Kunywa pombe kupita kiasi ni hatatari kwa afya na uhai wako, kunywa kistaarabu.
Uko sahihi ila tunaomba ututajie hao watu unaohisi wamepatwa na haya maradhi.
 
Tupige nyeto tu wazee.. nyeto hupati gono,kaswende, uti sugu wala ukimwi

Nyeto haupotezi hata Mia yako ni wewe tu

Nyeto haina wivu hata uchiti vipi

Nyeto inaleta usingizi mzuri imara na murua

Nyeto inakupa uhakika wa show anytime anywhere

Nyeto inakupa uhuru wa kutafuta pesa haina text wala no missed calls

KULENI NYETO KWA MUSTAKABAL WA AFYA ZENU NA UCHUMI
hii ni kwa me tu au hata na ke pia?
 
Back
Top Bottom