VPN USED2020OCTOBER28
JF-Expert Member
- Oct 27, 2011
- 1,505
- 674
yaani mimi sijawahi kuwa impressed nYe kabisa aisee[emoji191][emoji191][emoji191][emoji191]Wana Jamii.... Me huwa sihoni anachochekesha huyu "Boya" sio lugha nzuri.....Mc Pilipili...Hivi huwa anachekesha nini....nadhani kwa watu wa karibu nae wamshauri afanye shughuli nyingine...maana... Mara 100 niangalie video ya marehemu Kinyambe(Sikumkubali pia R.I.P) Kuliko huyu jamaa.
Kijana wa kulialia,hivi kashafunga ndoa na yule binti?
Mkijibiwa naomba mfanye kunitagi wakuu wanguNaona anapigaga makelele mgogo yule, hivi ile ndoa yake bado?
Hana kiwango hicho, labda awe mc wa kwenye unyago,Tanzania anayechekesha labda Joti tu. Wengine wala siwaelewagi. Nashangaaga eti Idriss nae comedian.
Mcpilipili ni mc tu wa sherehe labda.
Hivi we unaidika nini kumsema mtu huyu..kwanza yawezekana maisha mazuri kuliko hata wewe mind your own business mjini hapa
AaaaaahhKwa jinsi ulivyo na stress hata aje mr Bean utamuona kama baba Paroko kaja kuongoza sala
Kweli anachekesha ila kawaida tuWana Jamii.... Me huwa sihoni anachochekesha huyu "Boya" sio lugha nzuri.....Mc Pilipili...Hivi huwa anachekesha nini....nadhani kwa watu wa karibu nae wamshauri afanye shughuli nyingine...maana... Mara 100 niangalie video ya marehemu Kinyambe(Sikumkubali pia R.I.P) Kuliko huyu jamaa.
EkizakitiliWhat a man does for a living is none of my business! ~ Don Corleone
unasemaje atafute kazi nyingine wakati anaishi kwa hicho kitu? Angekuwa hana chochcote kama unavyodai basi asingepata hata senti tano. Ali mradi anapata kipato basi ina maana kuna watu wanaompenda.. Na wewe katafute commedian unayempenda. Huyo achana naye.Wana Jamii.... Me huwa sihoni anachochekesha huyu "Boya" sio lugha nzuri.....Mc Pilipili...Hivi huwa anachekesha nini....nadhani kwa watu wa karibu nae wamshauri afanye shughuli nyingine...maana... Mara 100 niangalie video ya marehemu Kinyambe(Sikumkubali pia R.I.P) Kuliko huyu jamaa.
Kimfaacho mtu chake , unataka awe mwizi ?Wana Jamii.... Me huwa sihoni anachochekesha huyu "Boya" sio lugha nzuri.....Mc Pilipili...Hivi huwa anachekesha nini....nadhani kwa watu wa karibu nae wamshauri afanye shughuli nyingine...maana... Mara 100 niangalie video ya marehemu Kinyambe(Sikumkubali pia R.I.P) Kuliko huyu jamaa.