Kuna wanaomuelewa Mc Pilipili?

Kuna wanaomuelewa Mc Pilipili?

Wana Jamii.... Me huwa sihoni anachochekesha huyu "Boya" sio lugha nzuri.....Mc Pilipili...Hivi huwa anachekesha nini....nadhani kwa watu wa karibu nae wamshauri afanye shughuli nyingine...maana... Mara 100 niangalie video ya marehemu Kinyambe(Sikumkubali pia R.I.P) Kuliko huyu jamaa.
yaani mimi sijawahi kuwa impressed nYe kabisa aisee[emoji191][emoji191][emoji191][emoji191]
 
Hivi we unaidika nini kumsema mtu huyu..kwanza yawezekana maisha mazuri kuliko hata wewe mind your own business mjini hapa
 
Maisha yake yanagharamiwa na unaouita upuuzi,Rizki ya Mbwa ipo miguuni mwake...
 
Wana Jamii.... Me huwa sihoni anachochekesha huyu "Boya" sio lugha nzuri.....Mc Pilipili...Hivi huwa anachekesha nini....nadhani kwa watu wa karibu nae wamshauri afanye shughuli nyingine...maana... Mara 100 niangalie video ya marehemu Kinyambe(Sikumkubali pia R.I.P) Kuliko huyu jamaa.
Kweli anachekesha ila kawaida tu
 
Kheri hata umuangalie Ringo na Tini White unaweza kucheka at least, kuliko huyo MC...


Cc: mahondaw
 
Wana Jamii.... Me huwa sihoni anachochekesha huyu "Boya" sio lugha nzuri.....Mc Pilipili...Hivi huwa anachekesha nini....nadhani kwa watu wa karibu nae wamshauri afanye shughuli nyingine...maana... Mara 100 niangalie video ya marehemu Kinyambe(Sikumkubali pia R.I.P) Kuliko huyu jamaa.
unasemaje atafute kazi nyingine wakati anaishi kwa hicho kitu? Angekuwa hana chochcote kama unavyodai basi asingepata hata senti tano. Ali mradi anapata kipato basi ina maana kuna watu wanaompenda.. Na wewe katafute commedian unayempenda. Huyo achana naye.
 
  • Thanks
Reactions: THT
Wana Jamii.... Me huwa sihoni anachochekesha huyu "Boya" sio lugha nzuri.....Mc Pilipili...Hivi huwa anachekesha nini....nadhani kwa watu wa karibu nae wamshauri afanye shughuli nyingine...maana... Mara 100 niangalie video ya marehemu Kinyambe(Sikumkubali pia R.I.P) Kuliko huyu jamaa.
Kimfaacho mtu chake , unataka awe mwizi ?
 
Back
Top Bottom