Kuna wanaume JamiiForums wana pesaa balaa!

Kuna wanaume JamiiForums wana pesaa balaa!

Muzine

JF-Expert Member
Joined
May 4, 2017
Posts
32,366
Reaction score
60,453
Kama ulikuwa hujui

Kuna wanaume hapa wanamiliki madorali mpaka unashangaa nataman niwatag lakini naona PM zaoo zitastack kama simu za Tecno.


Sifa zao
Huwa hawacomment ila wanalike tu.

Ni balaaaaaaaa huuhuuuu ngoja niishie hapaaa.

Lakini siwezi kuacha kumtag Jr maana yeye tajiri wa tunguli ana uwezo wa kugeuza makaratasi kuwa pesaa.


Wanaume matajiri Jf huwezi kumkuta hata siku moja anachit chat kama Mbao za Mawe au Daby.

Za kuambiwa changanya na zakoo.


Wanaume wenye madorali Jf leo tupo pamoja tumechoka hizi brand I'd kumbe hazifanani na wahusika alafu nyie mnaomiliki mikwanja mmejificha hamtaki kujulikana loooh kazi kweli kweli.




Mrs Jr.
 
Napata chai nitarud kuwatag kwenye comment mabilionea ya jf
IMG-20180615-WA0015.jpg
 
Uwiii. Nimejikuta namkumbuka Kaka yangu wa damu DellaPina ila shida yake huyu kaka wa mie kuandika ni shida na hata Likes hatoagi ye anapita kimya kimya tu labda umkute kwenye uzi wake pendwa wa Juventus special thread.

Natania jamaani Kaka yangu hana Madolari. [emoji12] [emoji12] Hahaaaaa.

May you please send me a Private Message...?
 
Ujue nimekufananisha na rafiki yangu mmoja hivi tunaiva hasaa nikajua ndio yeye aisee baada ya kuona hiyo Lovely hapo chini lol [emoji2] [emoji2] [emoji2]

Yaani mbio nikakimbilia kwenye Profile yake kwani nilijua amechange id. Duuh.

Nani tena huyo au sio vizuri kumtaja...?
 
Back
Top Bottom