Kuna wanaume JamiiForums wana pesaa balaa!

Kuna wanaume JamiiForums wana pesaa balaa!

Kama ulikuwa hujui

Kuna wanaume hapa wanamiliki madorali mpaka unashangaa nataman niwatag lakini naona PM zaoo zitastack kama simu za Tecno.


Sifa zao
Huwa hawacomment ila wanalike tu.

Ni balaaaaaaaa huuhuuuu ngoja niishie hapaaa.

Lakini siwezi kuacha kumtag Jr maana yeye tajiri wa tunguli ana uwezo wa kugeuza makaratasi kuwa pesaa.


Wanaume matajiri Jf huwezi kumkuta hata siku moja anachit chat kama Mbao za Mawe au Daby.

Za kuambiwa changanya na zakoo.


Wanaume wenye madorali Jf leo tupo pamoja tumechoka hizi brand I'd kumbe hazifanani na wahusika alafu nyie mnaomiliki mikwanja mmejificha hamtaki kujulikana loooh kazi kweli kweli.




Mrs Jr.
Hv Shunie kauona huu uzi
 
Vip wanawake, hakuna wanawake weye pesa zao? Kama wapo naomba uni PM id zao ili niunde nao urafiki.[emoji41]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Ukiwapata niguse na mimi wawe mashoga zangu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91] mapugi ndio yana makelele mwenye mahela sa ngpi atashinda chit chat na mmu kupiga kelele
 
Wouzeeer [emoji91][emoji91][emoji91] nakazia
Naomba kujazia hapo.
Wanaume wenye pesa hata ukiwakataa wanakaa kimya. Wale njaa kali wenzangu ukimkataa anaanza kuwa mmbea mara akuongelee mafumbo. Wakati hujala elfu mbili yake.

Kumalizia hili wifi naomba hao wenye hela unipatie ID zao nikawasalimie piem
 
Kama ulikuwa hujui

Kuna wanaume hapa wanamiliki madorali mpaka unashangaa nataman niwatag lakini naona PM zaoo zitastack kama simu za Tecno.


Sifa zao
Huwa hawacomment ila wanalike tu.

Ni balaaaaaaaa huuhuuuu ngoja niishie hapaaa.

Lakini siwezi kuacha kumtag Jr maana yeye tajiri wa tunguli ana uwezo wa kugeuza makaratasi kuwa pesaa.


Wanaume matajiri Jf huwezi kumkuta hata siku moja anachit chat kama Mbao za Mawe au Daby.

Za kuambiwa changanya na zakoo.


Wanaume wenye madorali Jf leo tupo pamoja tumechoka hizi brand I'd kumbe hazifanani na wahusika alafu nyie mnaomiliki mikwanja mmejificha hamtaki kujulikana loooh kazi kweli kweli.




Mrs Jr.
Na mm ntaanza kulike ili status yangu ibadilike
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91] mapugi ndio yana makelele mwenye mahela sa ngpi atashinda chit chat na mmu kupiga kelele
Aisee
 
Back
Top Bottom