Ewaaaaah na anakwambia mm siwez kuoa mwanamke ambaye anasoma masomo ya Arts maaajabu juzi kwenye harusi yake ameoa mwanamke aliyeishia la saba nikasema maaajabu.Halafu huyo ukute formula zote za kutafuta hela na kupata compound interest nzuri anazijua.
Usisahau kunitoa out napenda pizza na kupanda BMW.Tatizo la hela, kila unavyopata ndivyo unavyotaka zaidi.
Ukiongeza matumizi yanaongezeka na zile ulizofikiri zitatosha zinakuwa hazitoshi.
Kwa sasa nakusanya patents. Hela zitafuata zenyewe.
Kwenda Morena[emoji2] [emoji2] [emoji2]Usisahau kunitoa out napenda pizza na kupanda BMW.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kevoo nafasi hiyo itumieNaona pm yangu imeanza kushambuliwa na warembo ...naomba muelewe me sio tajiri ila nakosa muda wa Kuchat kutokana na kazi yangu ya boda boda [emoji23][emoji23][emoji23]
Hahah[emoji23][emoji23][emoji2][emoji23][emoji2]wewe tafadhali onea huruma mbavu zangu khaaaaahNaona pm yangu imeanza kushambuliwa na warembo ...naomba muelewe me sio tajiri ila nakosa muda wa Kuchat kutokana na kazi yangu ya boda boda [emoji23][emoji23][emoji23]
Yani nimechek tena ratiba nikagundua weekend ijayo mambo yamepandana tena [emoji21][emoji21][emoji21][emoji21]Hatimaye ile safari inaiva, tuko pamoja hiyo route.
Ndo maana nakupenda bibiHubby mjukuu akikwambia neno ni busara kumjibu
Chochote kinachowezekana babu. Yote ni mahitaji kwa siku ya leoTungo tata hii.. unataka kwenda kutengeneza nywele au kufungua saluni yako?
Yani nimechek tena ratiba nikagundua weekend ijayo mambo yamepandana tena [emoji21][emoji21][emoji21][emoji21]
Demiss huko insta hebu unafanya nini naona notification[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Watu wameanza kuchunguza id kama ni ya 2012 na ina post 10 hadi 100 zote za madini lakin anatoa like za kimya kimyaView attachment 814526
Alikula imeisha
Pole kwa ban
Nakuja kukinga na churururuu
[HASHTAG]#pugiiiii[/HASHTAG]
[HASHTAG]#mapugi[/HASHTAG]
Wouzeeeeeeerrrrrr. [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]Mi ntadekiiii....kojoa tu hakuna namnaa!