Kumbe ni beb zako? Nikajua marafiki tu. [emoji23][emoji23][emoji23]. Ila hakijaharibika kitu. Kizuri kula na wenzioHahah wewe sasa si nitawapoteza jaman agrrrrh
Basi weka full Id zao wifiAlafu wote watatu wanaanzia na M akiii nilisahau
Chanteee wiiiKaribu sanaaaa wifiiii mm nipo nimejaa teleee
Hahaaa. Usijali Pacha nitakuwa nakukumbuka.Ahsante sana pacha,sema unanisahau mnooo
Hahahaha hahahaha [emoji8] [emoji8] [emoji8] pacha uko makini sikuwa hata nmeona hahaha nmevurugwa asubuh asubhiHahaaa. Usijali Pacha nitakuwa nakukumbuka.
Ila pacha hii quote ya kipekee. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sababu ni kama umechangia uzi. Hujaniquote.
Amen dear1
Nimecheka kwa sauti kaka lol. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Napenda kutoa taarifa,hii ndio itakua comment ya mwisho,kuanzia sahivi ntakua nalike tu!
Hahahaha,.. Ntajitahidi kufumba macho nikufanyie hicho utakacho sawa?Ulisema huwezi labda choda
HayaKama ulikuwa hujui
Kuna wanaume hapa wanamiliki madorali mpaka unashangaa nataman niwatag lakini naona PM zaoo zitastack kama simu za Tecno.
Sifa zao
Huwa hawacomment ila wanalike tu.
Ni balaaaaaaaa huuhuuuu ngoja niishie hapaaa.
Lakini siwezi kuacha kumtag Jr maana yeye tajiri wa tunguli ana uwezo wa kugeuza makaratasi kuwa pesaa.
Wanaume matajiri Jf huwezi kumkuta hata siku moja anachit chat kama Mbao za Mawe au Daby.
Za kuambiwa changanya na zakoo.
Wanaume wenye madorali Jf leo tupo pamoja tumechoka hizi brand I'd kumbe hazifanani na wahusika alafu nyie mnaomiliki mikwanja mmejificha hamtaki kujulikana loooh kazi kweli kweli.
Mrs Jr.
Hahaha,nafanya maandalizi dada,next time,list ikija na mimi nisikose!Nimecheka kwa sauti kaka lol. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hahaaa. Usijali pacha. [emoji7] [emoji7]Hahahaha hahahaha [emoji8] [emoji8] [emoji8] pacha uko makini sikuwa hata nmeona hahaha nmevurugwa asubuh asubhi
Mm mke wa mganga nitaanzaje kuwa maskini
Hahaha,nafanya maandalizi ili list yako ijayo nisikose!Hahahhaha acha hizoo bhn rafiki